• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Mwenyekiti wa CWT Rombo auawa mwili wake watupwa barabarani
Africa East Africa

Mwenyekiti wa CWT Rombo auawa mwili wake watupwa barabarani

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Tukio hilo limetokea leo majira ya saa 10 alfajiri eneo la Mrere Mashati,karibu na shule ya Sekondari Shauritanga ambapo mwili wa mwalimu Hiza umekutwa barabarani huku damu zikiwa zinachuruzika kwenye lami

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan
Africa Features

Wazima moto wafaulu kudhibiti moto katika bandari ya Red Sea nchini Sudan

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Moto huo ulioenea kwa kasi kwa saa kadhaa, ulizuka katika eneo la kushusha mizigo kwenye bandari siku ya Jumatano.

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji
Africa Features Politics

Takriban watu watatu wakatwa vichwa katika mashambulizi Msumbiji

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Takriban watu watatu wamekatwa vichwa kutokana na kuzuka upya kwa ghasia za Kiislamu kaskazini mwa Msumbiji, polisi walisema Jumatano. “Ijumaa…

Kanuni mpya ya kikokotoo kuleta neema kwa wastaafu Tanzania
Africa East Africa

Kanuni mpya ya kikokotoo kuleta neema kwa wastaafu Tanzania

Asia GambaMay 26, 2022May 26, 2022

Kikokotoo hiki pia kinaongeza pensheni ya mwezi kutoka asilimia 50 ya sasa hadi asilimia 66 kwa waliokuwa wanachama wa PSPF na LAPF ambao ni asilimia 19 ya wanachama wote wa mifuko ya hifadhi ya jamii.

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa
Africa Features People Politics

“Ondoka barani Afrika,” waandamanaji mjini Pretoria waiambia Ufaransa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Waandamanaji kutoka chama cha EFF Afrika Kusini waliandamana Jumatano hadi kwenye ubalozi wa Ufaransa mjini Pretoria kuitaka Ufaransa iondoke Afrika.

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini
Africa Features Lifestyle & Health

Senegal: Watoto 11 wafariki katika ajali ya moto hospitalini

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio
Features International

Amerika: Watoto 19 na walimu wawili wauawa kwenye shambulio

Maureen MedzaMay 25, 2022May 26, 2022

Mshambuliaji Salvador Ramos aliua watu 21 katika darasa moja

Mwanaume mmoja nchini Tanzania amemuua mkewe kwa kumkata sehemu za siri na kisha kumtoboa macho
Africa East Africa

Mwanaume mmoja nchini Tanzania amemuua mkewe kwa kumkata sehemu za siri na kisha kumtoboa macho

Asia GambaMay 25, 2022May 25, 2022

Inadaiwa kuwa mtuhumiwa wa mauaji hayo ametekeleza unyama huo kwa kumkata sehemu zake za siri na kuchukua kiungo hicho, akakata viganja vya mkono wa kulia, vidole viwili na kumtoboa macho mwenzi wake huyo.

Arsenal’s Mohamed Elneny signs new contract
Africa Football People

Arsenal’s Mohamed Elneny signs new contract

Leah NgariMay 25, 2022May 25, 2022

Elneny made 14 top-flight appearances this season as Arsenal finished fifth in the Premier League.

Ousted Burkina president ‘totally locked up’, his party says
Africa People Politics

Ousted Burkina president ‘totally locked up’, his party says

Leah NgariMay 25, 2022May 25, 2022

President Roch Marc Christian Kabore, was overthrown in an army coup.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo