Waziri Nape asema hakuna wizi wa vifurushi vya simu unaofanywa na makampuni ya simu Tanzania
Waziri Nape ametoa kauli hiyo leo Mei 20,2022, alipokuwa akifanya majumuisho kwa wabunge waliochangia bajeti ya wizara yake, ambapo walilalimikia wizi unaofanywa na kampuni za simu katika huduma za bando na vifurushi.