• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Rais Uhuru Kenyatta amemsimamisha kazi Jaji Said Juma Chitembwe.
East Africa Features People Politics

Rais Uhuru Kenyatta amemsimamisha kazi Jaji Said Juma Chitembwe.

Maureen MedzaMay 20, 2022May 20, 2022

Kuondolewa kwa jaji kunaweza tu kuanzishwa na JSC ikifanya kazi kwa hoja yake yenyewe au kwa ombi la mtu yeyote kwa tume.

Dk.Stergomena:Lengo la mafunzo ya JKT kwa vijana si kuwaajiri bali kuwapatia stadi za maisha
Africa East Africa

Dk.Stergomena:Lengo la mafunzo ya JKT kwa vijana si kuwaajiri bali kuwapatia stadi za maisha

Asia GambaMay 19, 2022May 19, 2022

Dk. Stergomena ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo leo ambapo amebainisha kuwa dhumuni la mafunzo yanayotolewa kwa vijana ni kuwapatia stadi za kazi na stadi za maisha, ili baada ya kumaliza muda wa mafunzo na kutumikia JKT, waweze kurejea kwao wakiwa raia wema, wenye uwezo wa kujitegemea na kulilinda Taifa.

Watu 28 wauawa Sudan Kusini wakati wa majaribio ya uvamizi wa mifugo
Africa Features Politics

Watu 28 wauawa Sudan Kusini wakati wa majaribio ya uvamizi wa mifugo

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Nchi hiyo yenye watu milioni 11 imejitahidi kudumisha amani  katika miaka ya hivi karibuni tangu mikataba ya amani ya 2018.

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31
Africa East Africa Features Politics

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais
East Africa Features Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.

Wezi wa miundombinu ya serikali wamkera Rais Samia
Africa East Africa

Wezi wa miundombinu ya serikali wamkera Rais Samia

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Akizungumza  leo Mei 18, 2022 katika ufunguzi wa barabara ya Tabora, Koga – Mpanda KM 342.9, Rais Samia amesema miundombinu hiyo inatengenezwa kwa fedha nyingi za mikopo.

Mwanamke afanya ngono na mtoto wa darasa la tatu nchini Tanzania
Africa East Africa

Mwanamke afanya ngono na mtoto wa darasa la tatu nchini Tanzania

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, amesema tukio hilo lilitokea Mei 8, 2022  Kijiji cha Lumuli kilichopo halmashauri ya Wilaya ya Iringa.

Katambi: Kijana ambaye hajapata mkopo huenda ni Mkenya
Africa East Africa

Katambi: Kijana ambaye hajapata mkopo huenda ni Mkenya

Asia GambaMay 18, 2022May 18, 2022

Katambi amesema hayo leo Mei 18, 2022 bungeni mjini Dodoma, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, aliyehoji  vijana kutopata ajira kwa zaidi ya miaka sita sasa pamoja na kwamba kuna mfumo wa utoaji wa mikopo katika halmashauri , hivyo mfumo huo unawatupa  nje.

Rais wa Senegal amuunga mkono Gana Gueye baada ya shutuma za chuki dhidi ya wapenzi wa jinsia moja
Africa Europe Features Football International People

Rais wa Senegal amuunga mkono Gana Gueye baada ya shutuma za chuki dhidi ya wapenzi wa jinsia moja

Maureen MedzaMay 18, 2022May 18, 2022

Kiungo huyo wa kimataifa wa Senegal alikosa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Montpellier Jumamosi ambapo wachezaji walipaswa kuvaa jezi za upinde wa mvua kuunga mkono harakati za LGBTQ.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo