Rais Uhuru Kenyatta amemsimamisha kazi Jaji Said Juma Chitembwe.
Kuondolewa kwa jaji kunaweza tu kuanzishwa na JSC ikifanya kazi kwa hoja yake yenyewe au kwa ombi la mtu yeyote kwa tume.
Kuondolewa kwa jaji kunaweza tu kuanzishwa na JSC ikifanya kazi kwa hoja yake yenyewe au kwa ombi la mtu yeyote kwa tume.
Dk. Stergomena ameyasema hayo leo wakati akiwasilisha bajeti ya Wizara hiyo leo ambapo amebainisha kuwa dhumuni la mafunzo yanayotolewa kwa vijana ni kuwapatia stadi za kazi na stadi za maisha, ili baada ya kumaliza muda wa mafunzo na kutumikia JKT, waweze kurejea kwao wakiwa raia wema, wenye uwezo wa kujitegemea na kulilinda Taifa.
Nchi hiyo yenye watu milioni 11 imejitahidi kudumisha amani katika miaka ya hivi karibuni tangu mikataba ya amani ya 2018.
Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.
Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.
Akizungumza leo Mei 18, 2022 katika ufunguzi wa barabara ya Tabora, Koga – Mpanda KM 342.9, Rais Samia amesema miundombinu hiyo inatengenezwa kwa fedha nyingi za mikopo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi, amesema tukio hilo lilitokea Mei 8, 2022 Kijiji cha Lumuli kilichopo halmashauri ya Wilaya ya Iringa.
Katambi amesema hayo leo Mei 18, 2022 bungeni mjini Dodoma, akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Sophia Mwakagenda, aliyehoji vijana kutopata ajira kwa zaidi ya miaka sita sasa pamoja na kwamba kuna mfumo wa utoaji wa mikopo katika halmashauri , hivyo mfumo huo unawatupa nje.
Kiungo huyo wa kimataifa wa Senegal alikosa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Montpellier Jumamosi ambapo wachezaji walipaswa kuvaa jezi za upinde wa mvua kuunga mkono harakati za LGBTQ.