• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 13, 2022

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba
Features People Politics

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino
Africa Features Lifestyle & Health

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.

Rais Samia:Sekta binafsi ifanye biashara serikali itabaki kama msimamizi
Africa East Africa

Rais Samia:Sekta binafsi ifanye biashara serikali itabaki kama msimamizi

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Mkuu huyo wa nchi yupo ziarani nchini Oman kwa mwaliko wa Mfalme, Haitham Bin Tariq kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo mbili zenye historia ya muda mrefu.

Tanzania kuwakopesha wavuvi boti za kuvulia samaki
Africa East Africa

Tanzania kuwakopesha wavuvi boti za kuvulia samaki

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Wizara ya Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania imesema mwaka wa fedha 2022/2023, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kununua boti 320 za uvuvi kwa ajili ya kukopesha wavuvi wadogo na wa kati ili waboreshe kazi zao.

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma
Africa East Africa

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzaniaimeahidi kuangamiza vikundi vya uhalifu vilivyoibuka katika Kata ya Makulu, jijini Dodoma vinavyojiita Panya Karoa.

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi
Africa Features People Politics

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo
East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama
Africa Features

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Meli hiyo ya mifugo ilikuwa ikisafirisha wanyama hao kutoka Sudan hadi Saudi Arabia ilipozama

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo
Africa East Africa

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Mdee na wenzake wamekwenda mahakamani kupinga uamuzi wa chama hicho kwa kuwavua uanachama na wamefungua maombi Mahakama Kuu, dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema, wakiomba kibali cha kufungua shauri la mapitio ya kuhusu uamuzi huo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo