Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba
Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).
Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).
Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.
Mkuu huyo wa nchi yupo ziarani nchini Oman kwa mwaliko wa Mfalme, Haitham Bin Tariq kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo mbili zenye historia ya muda mrefu.
Wizara ya Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania imesema mwaka wa fedha 2022/2023, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kununua boti 320 za uvuvi kwa ajili ya kukopesha wavuvi wadogo na wa kati ili waboreshe kazi zao.
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzaniaimeahidi kuangamiza vikundi vya uhalifu vilivyoibuka katika Kata ya Makulu, jijini Dodoma vinavyojiita Panya Karoa.
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.
Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013
Meli hiyo ya mifugo ilikuwa ikisafirisha wanyama hao kutoka Sudan hadi Saudi Arabia ilipozama
Mdee na wenzake wamekwenda mahakamani kupinga uamuzi wa chama hicho kwa kuwavua uanachama na wamefungua maombi Mahakama Kuu, dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema, wakiomba kibali cha kufungua shauri la mapitio ya kuhusu uamuzi huo.