• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 21, 2022

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi
Africa East Africa

Polisi jijini Mwanza yakamata kilo 561 za mirungi

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Akizungumza na waaandishi wa habari leo Kamanda wa Polisi mkoani humo, Ramadhani Ng’anzi amesema gari hilo mali ya Malema Maswi lilikamatwa Juni 8, 2022 Saa 5: 20 usiku katika maeneo ya Itumbili wilayani Magu mkoani humo muda mfupi baada ya kutelekezwa na dereva ambaye jina lake halijatambulika.

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto
Features International

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Kasisi aliyefukuzwa kazi na aliyewahi kushika nyadhifa za juu katika Kanisa Katoliki nchini Chile alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kubaka na kuwadhalilisha watoto kingono

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania
Africa East Africa

Mwanafunzi auawa, mwili wake watupwa pembeni ya mto nchini Tanzania

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Tukio la mtoto huyo kuuawa ni tukio la tatu ndani ya wiki mbili ambapo watoto wengine wawili mmoja akiwa na miaka miwili aliuawa kwa kukatwa shingo na mwingine wa miaka saba inadaiwa alilawitiwa na kubakwa kisha kukatwa shingo wilayani Nyang’hwale mkoani humo.

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula
Africa Features

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Umoja wa Ulaya Jumanne uliahidi kuongeza euro milioni 600 kusaidia mataifa yaliyo hatarini kukabiliana na mzozo wa usalama wa chakula uliozidishwa na vita vya Urusi dhidi ya Ukraine.

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha
Features Lifestyle & Health

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.

Over 130 Malian civilians ‘systematically’ killed by suspected jihadists
Africa People

Over 130 Malian civilians ‘systematically’ killed by suspected jihadists

Aska MakoriJune 21, 2022June 21, 2022

Central Mali has been plagued by violence since the Al-Qaeda-affiliated organisation emerged in 2015.

A large part of the area is beyond state control and is prone to violence by self-defence militias and inter-community reprisals.

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti
East Africa Features Politics

Kenya yaandikisha idadi ndogo ya vijana katika kura za mwezi Agosti

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Idadi ya wapiga kura vijana waliojiandikisha katika uchaguzi wa Agosti nchini Kenya imepungua tangu uchaguzi uliopita miaka mitano iliyopita, tume ya uchaguzi IEBC

Miaka 25 jela kwa kukutwa na ngozi mbili za chui
Africa East Africa

Miaka 25 jela kwa kukutwa na ngozi mbili za chui

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Awali mtuhumiwa aliomba Mahakama impunguzie adhabu kwasababu ni kosa lake la kwanza na amefanyiwa upasuaji hivyo hawezi kufanya kazi ngumu na ana familia kubwa yenye watoto sita na wote wanamtegemea lakini hata hivyo Mahakama imemuhukumu kifungo cha miaka 25 au faini ya shilingi million 163.670.

Kishoa: Wanasiasa wanatafuta kiki sakata la Loliondo
Africa East Africa

Kishoa: Wanasiasa wanatafuta kiki sakata la Loliondo

Asia GambaJune 21, 2022June 21, 2022

Aidha amesema wanansiasa na wanaharakati wanapaswa kuacha kutumia kiraka cha Haki za Binadamua kwenye suala la mgogoro wa Loliondo na Ngorongoro linaloendelea nchini Tanzania.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo