• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania waongezeka
Africa East Africa

Ukuaji wa Uchumi nchini Tanzania waongezeka

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Hayo yamesemwa leo bungeni na Waziri wa Fedha na Mipango nchini humo Dk. Mwigulu Nchemba, wakati akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi wa taifa kwa mwaka 2021 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2022.

Tukio la mauaji ya Padri mkoani Mbeya lazua hofu kwa wananchi
Africa East Africa

Tukio la mauaji ya Padri mkoani Mbeya lazua hofu kwa wananchi

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera amesema tukio la mauaji ya kutisha ya Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya, Michael Samson (63) raia wa Malawi, limezua hofu miongoni mwa wananchi wa mkoa huo.

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka
Africa Features People Politics

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Kabuga mwenye umri wa maika 87, anadaiwa kuwa mfadhili wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 yaliyosababisha vifo vya watu 800,000 hasa Watutsi

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

Macho na masiko ya wananchi hii leo ni katika mhimili wa bunge ambapo Bajeti Kuu ya Serikali itasomwa 
Africa East Africa

Macho na masiko ya wananchi hii leo ni katika mhimili wa bunge ambapo Bajeti Kuu ya Serikali itasomwa 

Asia GambaJune 14, 2022June 14, 2022

Bajeti kuu ya serikali ya Tanzania kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 inawasilishwa siku moja na bajeti za serikali za baadhi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba
Features People Politics

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino
Africa Features Lifestyle & Health

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.

Rais Samia:Sekta binafsi ifanye biashara serikali itabaki kama msimamizi
Africa East Africa

Rais Samia:Sekta binafsi ifanye biashara serikali itabaki kama msimamizi

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Mkuu huyo wa nchi yupo ziarani nchini Oman kwa mwaliko wa Mfalme, Haitham Bin Tariq kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo mbili zenye historia ya muda mrefu.

Tanzania kuwakopesha wavuvi boti za kuvulia samaki
Africa East Africa

Tanzania kuwakopesha wavuvi boti za kuvulia samaki

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Wizara ya Mifugo na Uvuvi nchini Tanzania imesema mwaka wa fedha 2022/2023, serikali ya nchi hiyo ina mpango wa kununua boti 320 za uvuvi kwa ajili ya kukopesha wavuvi wadogo na wa kati ili waboreshe kazi zao.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo