• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma
Africa East Africa

Kutoka Panya Road wa Dar hadi Panya Karoa wa Dodoma

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzaniaimeahidi kuangamiza vikundi vya uhalifu vilivyoibuka katika Kata ya Makulu, jijini Dodoma vinavyojiita Panya Karoa.

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi
Africa Features People Politics

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo
East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama
Africa Features

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Meli hiyo ya mifugo ilikuwa ikisafirisha wanyama hao kutoka Sudan hadi Saudi Arabia ilipozama

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo
Africa East Africa

Kesi ya akina Mdee na wenzake kuunguruma leo

Asia GambaJune 13, 2022June 13, 2022

Mdee na wenzake wamekwenda mahakamani kupinga uamuzi wa chama hicho kwa kuwavua uanachama na wamefungua maombi Mahakama Kuu, dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema, wakiomba kibali cha kufungua shauri la mapitio ya kuhusu uamuzi huo.

Waliosambaza taarifa kuhusu bei ya umeme nchini Tanzania kupanda, kukamatwa
Africa East Africa

Waliosambaza taarifa kuhusu bei ya umeme nchini Tanzania kupanda, kukamatwa

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

“Nimeagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kila aliyehusika na kueneza uongo kuwa TANESCO imepandisha bei ya umeme wakati wakijua fika sio kweli. Uenezaji wa taarifa za uongo kiasi hiki ni uchochezi wenye lengo la kujenga chuki dhidi ya TANESCO na Serikali”

Sabaya na wenzake wavuka kiunzi kwenye kesi ya pili iliokuwa ikiwakabili
Africa East Africa

Sabaya na wenzake wavuka kiunzi kwenye kesi ya pili iliokuwa ikiwakabili

Asia GambaJune 10, 2022June 10, 2022

Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, Patricia Kisinda, leo Ijumaa Juni 10, 2022 amewaachia huru washitakiwa hao baada ya kubaini kuwa ushahidi wa mashahidi 13 upande Jamhuri ulikuwa ukikinzana na pia hati ya mashitaka iliyosomwa mahakamani ilikuwa na kasoro nyingi.

South Africa: 15 dead, 37 injured in bus collision
Africa Lifestyle & Health People

South Africa: 15 dead, 37 injured in bus collision

Leah NgariJune 10, 2022June 10, 2022

“The death toll is now 15 dead, and 37 people have been injured, some of them critically,” spokesman Thabo Charles Mabaso said.

Pope postpones Africa visit over knee problem
Africa International Lifestyle & Health People

Pope postpones Africa visit over knee problem

Leah NgariJune 10, 2022June 10, 2022

The Vatican, which announced the trip to Africa in March, had already published its schedule. 

Reports: Ex-husband crashes Britney’s secret wedding
Arts & Culture Entertainment People

Reports: Ex-husband crashes Britney’s secret wedding

Leah NgariJune 10, 2022June 10, 2022

“Where’s Britney?” he can be heard saying.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo