• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: October 2022

Russia says eight suspects detained over Crimea bridge blast
Asia Europe International Middle East Politics

Russia says eight suspects detained over Crimea bridge blast

Mwanzo EditorOctober 12, 2022October 12, 2022

The suspects include five Russians and “three Ukrainian and Armenian citizens

Rais Samia kufanya ziara ya siku nne mkoani Kigoma
Africa East Africa

Rais Samia kufanya ziara ya siku nne mkoani Kigoma

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye amesema kuwa, ziara ya Rais Samia itaanzia wilayani Kakonko.

Tanzania yaitaka Jumuiya ya Kimataifa kusaidia mchakato wa kuwarudisha wakimbizi wa Burundi nchini kwao
Africa East Africa

Tanzania yaitaka Jumuiya ya Kimataifa kusaidia mchakato wa kuwarudisha wakimbizi wa Burundi nchini kwao

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi nchini Tanzania,  Mhandisi Hamad Masauni amezitaka Jumuiya ya Kimataifa na Washirika wa Maendeleo kusaidia mchakato wa kuwarudisha Wakimbizi wa Burundi kwa hiari nchini kwao kwa kuweka sawa mazingira ya ndani ya nchi hiyo.

Bado watoto wa kike wanakabiliwa na vikwazo katika safari yao ya kuelekea utuuzima.
Africa East Africa

Bado watoto wa kike wanakabiliwa na vikwazo katika safari yao ya kuelekea utuuzima.

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Wasichana walio na ujana wana haki ya kuishi salama, kuelimika, na afya. Ikiwa wanaungwa mkono vyema wakati wa miaka ya ujana, wasichana wana uwezo wa kubadilisha ulimwengu – wote kama wasichana wenye uwezo wa leo na kama wafanyikazi wa kesho, mama, wajasiriamali, washauri, wakuu wa kaya, na viongozi wa kisiasa. 

Dkt. Tulia achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kundi la Kanda ya Afrika ya Umoja wa Mabunge duniani.
Africa East Africa

Dkt. Tulia achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa kundi la Kanda ya Afrika ya Umoja wa Mabunge duniani.

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Aidha kupitia nafasi hiyo atakuwa pia Mjumbe wa Kamati ya Uongozi ya IPU na Kamati ya Uongozi ya Makundi ya Kijiografia.

Serikali ya Tanzania yaanza kupitia sheria ya ndoa ya 1971
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yaanza kupitia sheria ya ndoa ya 1971

Asia GambaOctober 11, 2022October 11, 2022

Waziri wa Maendeeo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum nchini Tanzania Dkt. Dorothy Gwajima amesema Serikali ya nchi hiyo kupitia Wizara za Kisekta imeanza mapitio ya sheria ya ndoa ya mwaka 1971 pamoja na sheria nyingine zinazogongana ili kuwasaidia watoto wa kike kuhusu umri wa kuolewa.

Ruto ahitimisha ziara yake nchini Tanzania
Africa East Africa

Ruto ahitimisha ziara yake nchini Tanzania

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Kwa ziara hiyo, Tanzania imekuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kwa Rais Ruto kufanya ziara ya kikazi, na nchi ya tano kutembelea dunia tangu aapishwe Septemba 13 mwaka huu, ikitanguliwa na Uingereza, Marekani, Ethiopia na Uganda.

Ummy:Afya ya akili ni tatizo la kidunia
Africa East Africa

Ummy:Afya ya akili ni tatizo la kidunia

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Afya wa Tanzania Ummy Mwalimu, wakati wa kongamano la kwanza la kitaifa la afya ya akili ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya afya ya akili yanayoadhimishwa duniani hii leo.

Kesi ya Sabaya, upelelezi kukamilika ndani ya siku 90
Africa East Africa

Kesi ya Sabaya, upelelezi kukamilika ndani ya siku 90

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Sabaya na wenzake wanne walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kwa mara ya kwanza Juni Mosi mwaka huu wakikabiliwa na mashitaka 7 ikiwemo uhujumu uchumi, ambapo leo Oktoba 10 anatimiza siku 132 akiwa mahabusu.

Vitendo vya ukatili vyaongezeka mkoani Katavi
Africa East Africa

Vitendo vya ukatili vyaongezeka mkoani Katavi

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Sababu za matukio hayo kuongezeka ni kupungua kwa utoaji elimu juu ya madhara ya ukatili na unyayasaji wa kijinsia kwa jamii.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo