• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: November 2, 2022

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.
Africa East Africa

Bodi ya Mikopo Tanzania yaendelea kuandamwa, yadaiwa kutoa mikopo ya shilingi bilioni 1 kwa wanafunzi wasiostahili.

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (PAC) imebaini utoaji wa mikopo inayofikia shilingi bilioni 1.76 kwa wanafunzi wasiostahili katika kipindi  cha kati ya mwaka 2016 hadi mwaka 2018.

Wamaasai Tanzania wasilisha kesi mahakamani kuhusu eneo la ulinzi la wanyamapori
Tanzania

Wamaasai Tanzania wasilisha kesi mahakamani kuhusu eneo la ulinzi la wanyamapori

Joan WafulaNovember 2, 2022July 2, 2024

Jamii ya wahamaji wa Loliondo Wilaya ya Kaskazini ya Ngorongoro wameishutumu serikali kwa kujaribu kuwalazimisha kuondoka kwenye ardhi ya mababu zao ili kuandaa safari na uwindaji.

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar
Africa East Africa

Mradi wa visima vya maji kupunguza adha ya upatikanaji maji Dar

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Mradi huo unahusisha visima saba na tenki la kuhifadhia maji lenye ukubwa la lita 15 milioni unatekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Dawasa) umekamilika kipindi ambacho jiji la Dar es Salaam lina uhaba mkubwa wa maji.

FULL LIST: Nixon Korir, Jonathan Mueke Among 51 Principal Secretaries Picked By President Ruto
Africa People Politics

FULL LIST: Nixon Korir, Jonathan Mueke Among 51 Principal Secretaries Picked By President Ruto

Joan WafulaNovember 2, 2022November 2, 2022

President William Ruto has nominated 51 people for the positions of Principal Secretaries (PS) in different State departments. Dr Ruto…

Kenya says sending troops to DRCongo to fight rebel advance
Africa East Africa

Kenya says sending troops to DRCongo to fight rebel advance

Mwanzo EditorNovember 2, 2022November 2, 2022

Kenya’s President William Ruto announced Wednesday the deployment of troops to eastern Democratic Republic of Congo in a joint regional operation against a rebel offensive.

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo
Africa East Africa

Adaiwa kumuua mwanaye kwa kipigo

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani  Mwanza, Maili Makori amesema wanawasaka wazazi wa mtoto huyo waliotoweka mara baada ya mauaji hayo.

China imposes Covid lockdown on 600,000 people around iPhone plant
Asia International Science & Tech

China imposes Covid lockdown on 600,000 people around iPhone plant

Mwanzo EditorNovember 2, 2022November 2, 2022

Chinese authorities imposed lockdowns on 600,000 people in the area surrounding the world’s largest iPhone factory after workers fled to avoid a coronavirus outbreak

‘Continue Complaining,’ Elon Musk Says Amid Uproar On Twitter Verification Charges
Business / Finance International People

‘Continue Complaining,’ Elon Musk Says Amid Uproar On Twitter Verification Charges

Mwanzo EditorNovember 2, 2022November 2, 2022

New Twitter CEO Elon Musk has announced reforms that will see users of accounts with verification badges pay $8 (Ksh. 971.6) per…

Tanzania yatuma wanajeshi kuzima moto mlima Kilimanjaro
Natural disasters Tanzania

Tanzania yatuma wanajeshi kuzima moto mlima Kilimanjaro

Victor WanaswaNovember 2, 2022July 2, 2024

Moto huo ulianza tarehe 21 mwezi oktoba karibu na eneo la Karanga linalotumiwa sana na wanaokwea mlima huo.

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 
Africa East Africa

Simbachawene: Serikali ilitumia bilioni 17 kwa waathirka wa mabomu Mbagala 

Asia GambaNovember 2, 2022November 2, 2022

Simbachawene ameyasema hayo leo bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa jimbo la Mbagala, Abdalah Chaurembo aliyetaka kufahamu kauli ya serikali juu ya mapunjo ya fidia kwa wananchi walioathirika na mlipuko wa mabomu jimboni kwake.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo