• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: November 2022

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki
East Africa Politics

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Winnie Odinga, Binti mdogo wa Raila Odinga akiibuka wa pili kwa kura 247, jambo ambalo linamfungulia njia ya kuwakilisha taifa la Kenya kwa muhula wa miaka mitano katika bunge la EALA lililoko mjini Arusha.

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta
Africa East Africa

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah, alisema tukio hilo limetokea Novemba 10, majira ya saa 10 jioni wakati mtoto aliporudi shule na kukuta mlango wa nyumbani kwao umefungwa na kuamua kujikinga kwenye boma hilo wakati mvua ikinyesha.

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo
Kenya

Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza nchini Kenya chakumbatia teknolojia mpya ya mafunzo

Victor WanaswaNovember 18, 2022July 2, 2024

Jeshi vilevile imeanzisha mafunzo ya muigo ya kukabiliana na hali ya mapigano, ambapo wamewafunza wahandisi wa Kenya kuhusu teknolojia hiyo.

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.
Africa East Africa

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.

Asia GambaNovember 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na UNICEF kutoka New York Marekani imeeleza kuwa katika utafiti uliofanywa kwenye nchi 22 za kipato cha chini na cha kati umeonesha jinsi watoto wanavyobaguliwa katika afya, kupata rasilimali zinazotolewa na serikali, na elimu.

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida
Africa East Africa

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ndege hiyo ambayo ilikuwa inaenda mjini Bukoba kupitia Mwanza ikitokea Dar es Salaam, ililazimika kutua salama katika uwanja wa Ndege wa Mwanza majira ya saa 6:56 mchana baada ya kushindwa kutua kwenye uwanja wa Bukoba

Top Ugandan rights groups file case against internet law
East Africa People Politics

Top Ugandan rights groups file case against internet law

Mwanzo EditorNovember 17, 2022November 17, 2022

They have filed a court challenge to a controversial new internet law, which they say is aimed at curbing free speech and targeting government opponents

Kenya Airways kuanza safari za moja kwa moja kutoka Mombasa –Dubai kuanzia mwezi ujao
Business / Finance International

Kenya Airways kuanza safari za moja kwa moja kutoka Mombasa –Dubai kuanzia mwezi ujao

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Shirika hilo linatazamiwa kuendesha safari hiyo mara nne kwa wiki kwa ndege yake aina ya Boeing 737-800.

FIFA President Infantino to stand unopposed for third term
Football International

FIFA President Infantino to stand unopposed for third term

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

A brief statement from FIFA said that Infantino would be the only candidate when the election takes place at the 73rd FIFA Congress in Kigali, Rwanda on March 16.

Moshi ya bangi hudhuru mapafu zaidi kwa watumiaji wa sigara, utafiti wabaini
Lifestyle & Health

Moshi ya bangi hudhuru mapafu zaidi kwa watumiaji wa sigara, utafiti wabaini

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Bangi hatari na bandia kama K2 na Spice, haitumiwi sana katika majimbo ambayo bangi imehalalishwa.

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.
Africa East Africa

Majambazi watatu waua mkoani Kagera.

Asia GambaNovember 17, 2022November 17, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, ACP William Mwampagale amewaambia waandishi wa habari tukio hilo lilifanyika wakati wa operashani maalumu baada ya kupata taarifa kuwa kuna kundi lililokuwa linapanga kufanya uhalifu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo