• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: January 2023

Ufaransa inapanga kuongeza umri wa kustaafu hadi 64 ifikapo 2030
Europe People

Ufaransa inapanga kuongeza umri wa kustaafu hadi 64 ifikapo 2030

Joy CheptooJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri Mkuu Elisabeth Borne anasema mabadiliko hayo ni muhimu ili kuzuia upungufu mkubwa katika mfumo huo katika siku zijazo

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.
Africa East Africa

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.

Asia GambaJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri wa Kilimo nchini humo Hussein Bashe alisema serikali imetenga shilingi  Milioni 300 zilizoanza kutumika kusafisha hekta 2,900 za mashamba ya kampuni ya Chai Kilolo zilizotelekezwa kwa miaka 34

Mfumuko wa bei barani Afrika kupungua mnamo 2023
Africa Business / Finance

Mfumuko wa bei barani Afrika kupungua mnamo 2023

Joy CheptooJanuary 19, 2023January 19, 2023

Uchumi katika mataifa 54 barani Afrika uliathiriwa sana na mdororo wa kiuchumi wa kimataifa wa uvamizi wa Urusi nchini Ukraine

Mtanzania afariki kwenye vurugu nchini Afrika Kusini
Africa East Africa

Mtanzania afariki kwenye vurugu nchini Afrika Kusini

Asia GambaJanuary 19, 2023January 19, 2023

Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema Mtanzania, Abilah Hussein Riziki amefariki dunia jijini Johannesburg katika vurugu.

Here is what you get with Twitter’s new Ksh.10K annual subscription
People

Here is what you get with Twitter’s new Ksh.10K annual subscription

Joan WafulaJanuary 19, 2023January 19, 2023

But what exactly does one get for forking out such amounts of money to access the originally-free platform?

Uber yarudisha huduma ya usafiri Tanzania
Africa East Africa

Uber yarudisha huduma ya usafiri Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2023January 19, 2023

Uber Limited ilisitisha huduma zake nchini Tanzania ikipinga kanuni mpya za usafiri wa teksi mtandaoni zilizotangazwa na Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu nchini humo (LATRA)

NBS yatabiri kupungua kwa mfumuko wa bei Tanzania
Africa East Africa

NBS yatabiri kupungua kwa mfumuko wa bei Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2023January 18, 2023

Kwa mujibu wa Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, bei hizo zitapungua kutokana na juhudi mbalimbali zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika  kudhibiti mfumuko wake, ikiwemo kuimarisha sekta ya kilimo kwa kuongeza bajeti ya Wizara ya Kilimo, kutoa ruzuku kwenye mafuta na mbolea.

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta
Europe War & Conflicts

Waziri wa mambo ya ndani wa Ukraine na watu 15 wafariki katika ajali ya Helikopta

Victor WanaswaJanuary 18, 2023July 2, 2024

Watoto watatu pia walikuwa miongoni mwa waliofariki na wengine 15 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini.

Tanzania kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti
Africa East Africa

Tanzania kuchunguza tuhuma za wanafunzi kufundishwa vitendo vya ulawiti

Asia GambaJanuary 18, 2023January 18, 2023

Hivi karibuni vyombo vya habari nchini Tanzania viliripoti taarifa juu ya shule kutoa mafundisho ya ulawiti kwa wanafunzi katika shule hizo

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo
Africa East Africa

Mahakama yapanga kusikiliza rufaa ya Sabaya siku tano mfululizo

Asia GambaJanuary 17, 2023January 17, 2023

Rufaa iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kupinga hukumu iliyomwachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake, imepangwa kuendelea kusikilizwa kwa siku tano mfululizo kuanzia Februari 27, 2023.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo