• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2023

Chama cha upinzani nchini Kenya chaandaa maandamano ya siku ya tatu
East Africa People Politics

Chama cha upinzani nchini Kenya chaandaa maandamano ya siku ya tatu

Joy CheptooMarch 30, 2023March 30, 2023

Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha

Kamala Harris awasili Tanzania kuanza ziara yake ya siku tatu.
Africa East Africa

Kamala Harris awasili Tanzania kuanza ziara yake ya siku tatu.

Asia GambaMarch 30, 2023March 30, 2023

Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris amewasili Dar es Salaam nchini Tanzania usiku wa Jumatano kwa ziara yake rasmi ya kiserikali ya siku tatu nchini humo

Ufanisi Wa Karim Mandonga Wachochea Kuandaliwa Kwa Misusuru Ya Ndondi Kenya
Sports

Ufanisi Wa Karim Mandonga Wachochea Kuandaliwa Kwa Misusuru Ya Ndondi Kenya

Kevin SeweMarch 29, 2023March 29, 2023

Misururu zaidi ya michezo ya  ndondi yamepangwa kote nchini Kenya kama sehemu moja ya kukuza umaarufu na ushirikishaji  wa jamii katika fani hio.

Mfahamu Humza Yousaf, mwanasiasa mwenye asili ya Kenya, aliyechaguliwa kuwa Waziri wa Kwanza wa Scotland
Europe People Politics

Mfahamu Humza Yousaf, mwanasiasa mwenye asili ya Kenya, aliyechaguliwa kuwa Waziri wa Kwanza wa Scotland

Joy CheptooMarch 29, 2023April 6, 2023

Kiongozi wa Chama cha Kitaifa cha Uskoti (SNP) ndiye Waziri wa Kwanza mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kutokea na wa kwanza kutoka katika makabila madogo

Wakenya lazima watii sheria! Rais Ruto asema baada ya maandamano
East Africa People Politics

Wakenya lazima watii sheria! Rais Ruto asema baada ya maandamano

Joy CheptooMarch 28, 2023March 28, 2023

Rais William Ruto amesema hali ya kutoadhibiwa haitavumiliwa na Wakenya wote lazima watii sheria

Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika ahimiza utulivu baada ya maandamano ya ghasia nchini Kenya
Africa People Politics

Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika ahimiza utulivu baada ya maandamano ya ghasia nchini Kenya

Joy CheptooMarch 28, 2023March 28, 2023

Faki anaonyesha wasiwasi mkubwa juu ya ghasia, ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, uharibifu wa mali na kukatizwa kwa shughuli fulani za kiuchumi

Avatar: The Way of Water, kuanza kuoneshwa kwenye huduma za kustream
Entertainment

Avatar: The Way of Water, kuanza kuoneshwa kwenye huduma za kustream

Mwanzo EditorMarch 28, 2023May 9, 2024

Filamu ya Avatar 2 inashika nafasi ya nne kimataifa kwa filamu zilizopata mapato ya juu zaidi katika historia baada ya “Avatar1” (dola bilioni 2.92), “Avengers: Endgame” ($2.7 bilioni) na “Titanic” ($2.19 bilioni)

Kenya Airways yachapisha hasara mbaya zaidi kuwahi kutokea
Business / Finance East Africa

Kenya Airways yachapisha hasara mbaya zaidi kuwahi kutokea

Joy CheptooMarch 27, 2023March 27, 2023

Ni mwaka wa 10 mfululizo wa hasara kwa shirika hilo la ndege, ambalo lilichapisha faida mara ya mwisho mnamo 2012

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi
East Africa People Politics

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi

Joy CheptooMarch 27, 2023March 27, 2023

Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi

#TANZANIA: Sheikh Ponda Apingwa Vikali Na Mahakama
East Africa People

#TANZANIA: Sheikh Ponda Apingwa Vikali Na Mahakama

Mwanzo EditorMarch 26, 2023March 26, 2023

Hii ni baada ya Sheikh Ponda kutoa taarifa kupitia ukurasa wa Twitter ikisema “22.03.2023 Jaji Mfawidhi alitembelea Mahabusu wa Ugaidi Arusha na kuwaambia kesi zao zimekwama kwa sababu Mahakama haijapewa Bajeti”

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo