Kampeni Ya Kukomesha Kejeli Ya Hedhi Yazinduliwa Kenya
Wanawake wamezindua kampeni inayofahamika kama #StainNotShame kama njia moja wapo ya kukomesha unyanyapaa dhidi ya hedhi
Wanawake wamezindua kampeni inayofahamika kama #StainNotShame kama njia moja wapo ya kukomesha unyanyapaa dhidi ya hedhi
Tanzania held its first multi-party elections in 1995 and the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party has won every election since
Rais Samia ametoa kauli hiyo jana Jumatano, katika mkutano wa hadhara wa Siku ya Wanawake Duniani ulioandaliwa na chama kikuu cha upinzani kupitia baraza lake la wanawake wa CHADEMA, alisema nchi hiyo iko imara kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote ya Afrika Mashariki.
Ametoa ahadi hiyo leo tarehe 8 Machi 2023, katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro, baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumuomba marekebisho hayo yakamilike kabla 2025.
Maadhimisho hayo ambayo Bawacha wanafanya Kitaifa mjini Moshi katika Ukumbi wa Kuringe pia yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa.
Kocha mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Edin Terzic amepuuzilia mbali uwezekano wa nyota Jude Bellingham ya kuondoka kwenye kikosi…
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe awasisitiza wadau wa Haki Jinai kuzingatia matumizi ya sayansi wakati wa upelelezi ili kuirahisishia Mahakama wakati wa kutafsiri sheria.
Kulikuwa na hali ya mshike mshike katika afisi za DCI baada ya aliyekuwa waziri wa usalama Dkt Fred Matiangi Kudinda…
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu
The directive was issued by the Education Commissioner of the ministry, Dr. Lyabwene Mtahabwa to education stakeholders in the country, saying that the implementation should start in March this year