Sri Lanka doctors remove ‘world’s largest kidney stone’
The stone removed from ex-sergeant Canistus Coonge weighed 801 grams (28.25 ounces), more than five times the weight of an average male kidney
The stone removed from ex-sergeant Canistus Coonge weighed 801 grams (28.25 ounces), more than five times the weight of an average male kidney
Serikali imewataka Wabunge kutoa maoni endapo kuna haja ya kurekebisha Kanuni za Utumishi wa Umma kuhusu likizo kwa wanawake wanaojifungua watoto njiti ili wapate muda wa kutosha wa kulea watoto hao wanaohitaji uangalizi wa karibu.
Mkurugenzi wa tume hiyo bwana Ramadhani Kailima ametoa taarifa hiyo leo na kwamba uchaguzi huo unafanyika baada ya kupokea taarifa kutoka kwa waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa.
Trump appeared before a judge in Miami to be formally presented with 37 charges brought by the government
Mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan na makamu wake wa zamani Mohamed Hamdan Daglo, wamekuwa kwenye vita tangu Aprili 15 baada ya kutofautiana katika mzozo wa madaraka
Sakata hiyo ya kutisha imewashangaza Wakenya na kumfanya Rais William Ruto kuunda tume ya uchunguzi kuhusu vifo hivyo
Leila ambaye atazikwa leo katika makaburi ya Sharif Haidari na swala itafanyika katika msikiti mkuu wa Ijumaa jijini Tanga.aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji na miongoni mwa waanzilishi wa Chama cha Waandishi Habari Wanawake Tanzania, TAMWA, kuanzia mwaka 1996 hadi 2001.
Sheria hiyo mpya, mojawapo ya sheria kali zaidi dhidi ya LGBTQ duniani, inafanya ushoga kuwa haramu huku wahalifu wakikabiliwa na kifungo cha miaka 20 jela kwa kuendeleza ushoga
Multiple truces have been agreed and broken, with US and Saudi mediators warning on Saturday that they may break off mediation efforts if a 24-hour ceasefire was not respected
Trump will appear in court Tuesday to answer charges that he lied and schemed to hang on to dozens of secret records he took to his beachfront mansion in Florida when he left the White House in 2021