Karim Mandonga Apigwa Na Bondia Moses Golola Wa Uganda (video)

Ikumbukwe ndani ya siku nane, Mandonga amepigana mapambano mawili na amepoteza yote

0

Bondia maarufu wa Tanzania  Karim ‘Mtu Kazi’ Mandonga  amepigwa na Bondia  Moses Golola wa Uganda kupitia ‘’Technical Knockout’’  katika roundi ya tatu ya pambano kali lililochezwa siku ya jumamosi usiku  jijini Mwanza.

Pigano hilo la kukata na shoka lilivutia umati mkubwa wengi wakiwa ni mashabiki wa Mandonga aliyekuwa amewaahidi ushidi. Awli akihijiwa na wanahabari, Bondia Huyo alisema amemuandalia Golola Ngumi kali ijulikanyao kama Ndukube.

Ikumbukwe ndani ya siku nane, Mandonga amepigana mapambano mawili na amepoteza yote

Julai 22, Mandonga alipigwa na Bondia Daniel Wanyoni wa kenya .

In this article

East Africa Premier News Source with Top Stories, Special Features and more.
Uncensored & Undaunted