Ajali yaua ndugu wanne mkoani Pwani
Kamanda ya Polisi wa mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia hii leo na kuongeza kuwa watu wote waliofariki dunia walikuwa ndani ya Prado
Kamanda ya Polisi wa mkoa wa Pwani, Pius Lutumo amesema ajali hiyo imetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia hii leo na kuongeza kuwa watu wote waliofariki dunia walikuwa ndani ya Prado
Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Dkt Ashatu Kijaji amewataka Maafisa Biashara wote nchini humo kukagua bei ya Sukari duka kwa duka na atakae kutwa na bei zaidi ya shilingi 3,200 achukuliwe hatua za kisheria.
In Kenya and Nigeria, which recently held votes, misinformation peddlers hung out in the open, mostly on Facebook and Twitter, while in Zimbabwe WhatsApp is king of the rapid spread, analysts say.
They will have to come with an individual health warning that “cigarettes cause impotence” and cancer, and that there is “poison in every puff” under new rules that came into effect Tuesday.
Shughuli ya uokozi katika ajali ya boti mbili zilizozama ndani ya Ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watu 14 wilayani Bunda imekamilika baada ya miili yote kuopolewa.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (Ewura) imetangaza bei ya ukomo kwa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa huku kukiwa na kilio cha ongezeko katika mafuta ya petroli na dizeli.
The Cabinet established closing time of non-essential services at 1 am on working days, and 2 am on weekends (Friday and Saturday), effective September 1st 2023
Users who registered with the project in Kenya were offered 25 free Worldcoin tokens worth about 7,000 shillings ($45), drawing thousands of people to multiple sign-up points in the capital Nairobi.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, imetupilia mbali ombi la dhamana ya Wakili maarufu nchini Tanzania, Peter Madeleka lililoombwa mahakamani hapo jana na jopo la mawakili watano wanaomtetea.
The 49-year-old politician, who is popular among young Senegalese, was formally charged Monday with calling for insurrection, undermining state security, criminal association with a terrorist body and other crimes.