• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2024

Civil Society Seeks IPOA Probe On Excesses During Gen Z Protest
Crime & Justice Kenya

Civil Society Seeks IPOA Probe On Excesses During Gen Z Protest

Kevin SeweJune 29, 2024July 3, 2024

The Police Reforms Working Group in Kenya has written to the Independent Policing Oversight Authority (IPOA) calling for investigations against…

Je nini kitafuata baada ya maandamano makubwa ya Kenya?
East Africa Kenya Politics

Je nini kitafuata baada ya maandamano makubwa ya Kenya?

Asia GambaJune 26, 2024July 5, 2024

Wakenya wengi wamechanganyikiwa sana na serikali huku wakihangaika na mzozo wa gharama ya maisha — ambao waandamanaji wanasema kupanda huko kutazidisha tu.

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito
Business / Finance East Africa Tanzania

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wafanyabiashara wanaitaka Serikali kupunguza kodi, kuwawekea mazingira mazuri ya biashara lakini pia kuwekwa kwa mifumo mizuri ya ukusanyaji kodi tofauti na inavyofanywa hivi sasa.

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya
East Africa Kenya Politics

Msimamo wa Rais Ruto dhidi ya waandamanaji nchini Kenya

Asia GambaJune 26, 2024April 17, 2025

Rais wa Kenya William Ruto aliapa kuchukua msimamo mkali dhidi ya “vurugu na machafuko” yaliyotokea siku ya Jumanne, baada ya maandamano ya kupinga mapendekezo ya serikali yake ya kupandisha ushuru kuwa mbaya na waandamanaji kulivamia bunge.

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo
Business / Finance East Africa Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa
East Africa Lifestyle & Health Tanzania

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa

Asia GambaJune 21, 2024July 3, 2024

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela holela ya Dawa ili kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa hususani za antibaotik kushindwa kufanya kazi ipasavyo na kugharimu maisha na nguvu kazi ya Taifa.

Nigeria warns over cholera outbreak that kills 30
Africa Lifestyle & Health

Nigeria warns over cholera outbreak that kills 30

Mwanzo EditorJune 19, 2024August 7, 2024

Lagos State health officials reported 15 deaths so far and 350 suspected cases, according to a statement on X, formerly Twitter this week.

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.
East Africa Politics Tanzania

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.

Asia GambaJune 19, 2024July 3, 2024

Jana Juni 18, 2024 Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, alilitangazia bunge na kutoa amri chini ya mamlaka aliyonayo ya kumfikisha mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kutokana na kwamba amelidharau bunge na mamlaka ya Spika.

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya
Business / Finance East Africa Tanzania

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya

Asia GambaJune 18, 2024July 4, 2024

Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni.

Kesi ya mauaji ya Mawazo wa CHADEMA kusikilizwa leo
East Africa Politics Tanzania

Kesi ya mauaji ya Mawazo wa CHADEMA kusikilizwa leo

Asia GambaJune 18, 2024April 17, 2025

Kesi hiyo imeanza kusikilizwa upya baada ya Mahakama ya Rufani iliyoketi Mwanza mbele ya majaji watatu, Ferdinand Wambali, Issa Maige na Leila Mgonya kutengua hukumu ya kesi hiyo na kuamuru ianze kusikilizwa upya, baada ya kubaini kasoro za kisheria katika mwenendo wa kesi hiyo Mahakama Kuu.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo