East Africa Politics Tanzania

Lissu kumtumia Rais Samia kama shahidi katika kesi yake ya Uhaini

Miongoni mwa waliotajwa pia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camilius Wambura, Kamishna wa Polisi Ramadhani Kingai, na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa. Lissu pia amewataja viongozi wa kikanda wakiwemo Martha Karua, mwanasiasa na mwanaharakati kutoka Kenya, Boniface Mwangi, Mwanaharakati kutoka Kenya, Agatha Atuhaire, Mwanaharakati kutoka nchini Uganda na Dk. William Mutunga, Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya.