• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Polepole: CCM inapoteza mwelekeo, “Wahuni” wameingia ndani ya chama
East Africa Politics Tanzania

Polepole: CCM inapoteza mwelekeo, “Wahuni” wameingia ndani ya chama

Asia GambaJuly 24, 2025

Balozi Humphrey Polepole, aliyewahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibuka kwa mara nyingine tena…

Gambia yatangaza mlipuko wa ugonjwa wa mpox
Africa Lifestyle & Health

Gambia yatangaza mlipuko wa ugonjwa wa mpox

Asia GambaJuly 23, 2025

Gambia imeripoti mlipuko wa ugonjwa wa mpox siku ya Jumanne baada ya kugunduliwa kwa kisa kimoja kupitia mfumo wa kawaida wa ufuatiliaji wa magonjwa, huku nchi kadhaa jirani zikiripoti ongezeko la maambukizi hivi karibuni.

Je, Mbowe anaandika ukurasa mpya kisiasa au anaufunga kabisa?
Africa East Africa Tanzania

Je, Mbowe anaandika ukurasa mpya kisiasa au anaufunga kabisa?

Asia GambaJuly 17, 2025

Wakati wengi walitarajia angerejea katika ulingo wa kisiasa kwa mtindo mpya, Mbowe amebaki kivuli cha kile kilichowahi kuwa sauti kali ya upinzani Tanzania.

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yapigwa kalenda tena, amlalamikia DPP kwa danadana
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu yapigwa kalenda tena, amlalamikia DPP kwa danadana

Asia GambaJuly 15, 2025

Kesi hiyo ilitajwa leo, Julai 15, 2025, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambapo Lissu alionesha wazi kutoridhishwa na hatua hiyo, akidai kuwa upande wa Jamhuri unatumia hila kuchelewesha mchakato wa haki.

Rais wa Cameroon Paul Biya kutafuta muhula wa nane wa Urais
Africa Politics

Rais wa Cameroon Paul Biya kutafuta muhula wa nane wa Urais

Asia GambaJuly 14, 2025

Rais wa Cameroon, Paul Biya, ametangaza Jumapili kwamba atagombea tena urais kwa muhula wa nane katika uchaguzi wa Oktoba, hatua itakayoongeza utawala wake ambao umedumu kwa takriban miaka 43.

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House
Africa International Politics Uncategorized

Trump kukutana na marais wa mataifa matano ya Afrika Ikulu ya White House

Asia GambaJuly 9, 2025

Marais wa Senegal, Liberia, Guinea-Bissau, Mauritania na Gabon — mataifa matano yaliyoko kwenye Pwani ya Atlantiki ya Afrika — wamealikwa na Trump kuhudhuria mkutano huo wa ngazi ya juu.

Jaji Mkuu wa Kenya atoa wito kwa mageuzi ya Polisi kufuatia vifo vya waandamanaji
Crime & Justice East Africa Kenya People Social Issues

Jaji Mkuu wa Kenya atoa wito kwa mageuzi ya Polisi kufuatia vifo vya waandamanaji

Asia GambaJuly 8, 2025

Kauli hiyo ya Jaji Mkuu imejiri kufuatia maandamano ya kitaifa yaliyofanyika Julai 7, 2025, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Saba Saba, ambapo watu kadhaa walipoteza maisha, wengine kujeruhiwa, na wengine kukamatwa.

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani
East Africa Politics Tanzania

CCM yavuna bilioni 2.7 kutokana na ada za fomu za ubunge na udiwani

Asia GambaJuly 3, 2025July 3, 2025

Makalla amesema hadi kufikia jana, Julai 2, 2025, zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu ndani ya chama lilikuwa limekamilika ambapo jumla ya wanachama 5,475 walichukua fomu za ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar.

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa

Asia GambaJuly 1, 2025July 1, 2025

Kesi ya Lissu ngoma nzito, maamuzi ya DPP, na Mahakama Kuu yasubiriwa

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga  “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano
East Africa Kenya People Politics Rights & Freedoms Social Issues

Mamlaka ya Mawasiliano Kenya yapiga “Stop” vyombo vya habari kurusha “Live”maandamano

Asia GambaJune 25, 2025

Agizo hilo, lililotolewa rasmi leo Juni 25, 2025, linanukuu madai ya ukiukaji wa Kifungu cha 33(2) na 34(1) cha Katiba ya Kenya, pamoja na Kifungu cha 461 cha Sheria ya Mawasiliano na Habari ya Kenya (Kenya Information and Communications Act).

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy