• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Sugu aishutumu CCM kwa madai ya uporaji wa uchaguzi, ataka uwajibikaji wa matumizi ya nguvu
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Sugu aishutumu CCM kwa madai ya uporaji wa uchaguzi, ataka uwajibikaji wa matumizi ya nguvu

Asia GambaMarch 23, 2026

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, ametoa tuhuma nzito dhidi ya…

Lissu aomba kesi yake isikilizwe haraka kwa hofu ya afya
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu aomba kesi yake isikilizwe haraka kwa hofu ya afya

Asia GambaMarch 23, 2026

Ameeleza sababu tano kuu, ikiwemo kuwa yuko kizuizini tangu Aprili 2025, pamoja na hali yake ya afya inayohitaji uangalizi wa mara kwa mara kufuatia jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi
Climate change East Africa Environment International Kenya Natural disasters

Kenya:Mvua kubwa za mafuriko nchini Kenya zaua watu 81 mwezi Machi

Asia GambaMarch 23, 2026

Zaidi ya familia 3,000 zimelazimika kuondoka makwao katika jamii ya Nyakach, huku baadhi wakikimbilia katika vituo vinane vya muda, wakazi walisema, wakati maji kutoka mto Mirui unaofurika yakiendelea kuhatarisha eneo hilo.

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu
Africa East Africa Environment People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Jamii ya Wamaasai yakataa mpango wa Serikali wa kuwahamisha, wakitaja ukiukwaji wa Haki za Binadamu

Asia GambaMarch 20, 2026March 20, 2026

Kwa mujibu wa MISA, ripoti za tume hizo zinategemea kwa kiasi kikubwa nyaraka za sera zinazopingwa, ikiwemo Ripoti ya Mfano wa Matumizi Mbalimbali ya Ardhi ya mwaka 2019 (MLUM), na zinapuuza ushahidi wa kisayansi unaopingana na simulizi la serikali. 

Askari Polisi ahukumiwa miaka miwili jela kwa kusababisha kifo cha Nashon
Africa East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Askari Polisi ahukumiwa miaka miwili jela kwa kusababisha kifo cha Nashon

Asia GambaMarch 20, 2026

Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Angaza Mwipopo baada ya mahakama kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na upande wa Jamhuri. Akisoma hukumu, Jaji Mwipopo amesema kuwa ushahidi uliotolewa ulithibitisha kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Desemba 14, 2024 katika eneo la Ipogolo.

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara
East Africa Tanzania Uncategorized

NBS yaanza utekelezaji wa tafiti zitakazokusanya taarifa muhimu za biashara

Asia GambaMarch 18, 2026

Serikali kupitia Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeanza kutekeleza tafiti mbalimbali zenye lengo la kukusanya taarifa muhimu kuhusu shughuli za biashara katika sekta rasmi na isiyo rasmi, pamoja na uzalishaji viwandani nchini.

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa
Africa Development East Africa Tanzania

Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa

Asia GambaMarch 18, 2026

Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.

Milipuko ya kujitoa mhanga Nigeria yaua 23, zaidi ya 100 wajeruhiwa
Africa International People Social Issues War & Conflicts

Milipuko ya kujitoa mhanga Nigeria yaua 23, zaidi ya 100 wajeruhiwa

Asia GambaMarch 17, 2026March 17, 2026

Milipuko mitatu ilitokea jioni ya Jumatatu muda mfupi baada ya wakazi wa mji huo wenye Waislamu wengi kufungua futari ya mwezi wa Ramadhani. Milipuko hiyo ililenga soko kuu, lango la hospitali kubwa ya kufundishia ya Maiduguri, pamoja na eneo la ofisi ya posta.

Israel yashambulia Tehran na Beirut huku Iraq ikizidi kuhusishwa katika vita vya Mashariki ya Kati
Africa Middle East Politics War & Conflicts

Israel yashambulia Tehran na Beirut huku Iraq ikizidi kuhusishwa katika vita vya Mashariki ya Kati

Asia GambaMarch 17, 2026

Vita hivyo, sasa vikiwa katika wiki ya tatu, vimesababisha vifo vya mamia ya watu na kuenea haraka, vikijumuisha mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Ghuba pamoja na mashambulizi ya Israel nchini Lebanon.

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu
Africa Religion Tanzania

Hukumu yaondoa sharti la BAKWATA kwa taasisi za Kiislamu

Asia GambaMarch 12, 2026

Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy