• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14
East Africa Politics Tanzania

Chadema yatakiwa kusimamisha shughuli zake kwa siku 14

Asia GambaJune 10, 2025

Zuio hilo linatokana na kesi namba 8323/2025 iliyofunguliwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Said Issa na wenzake wawili ambayo imetolewa uamuzi leo na Jaji Hamidu Mwanga.

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani
Africa East Africa People Politics Tanzania

Chadema, Msajili bado vuta nikuvute, wapeleka kesi Mahakamani

Asia GambaJune 5, 2025

Kwa mujibu wa CHADEMA, Msajili wa Vyama vya Siasa amekiuka Katiba kwa kudai kuwa uteuzi wa viongozi wa CHADEMA una dosari za kikatiba, akitaka nafasi hizo kujazwa upya huku akipuuzia mamlaka halali ya vikao vya chama vilivyoteua na kuthibitisha viongozi hao kwa mujibu wa Katiba ya chama.

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa
East Africa People Politics Religion Rights & Freedoms Social Issues Tanzania Uncategorized

Dola dhidi ya Madhabahu: Gwajima katika moto wa kisiasa

Asia GambaJune 3, 2025

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea kulizingira Kanisa la Ufufuo na Uzima, linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, huku baadhi ya waumini wa kanisa hilo wakishikiliwa kwa mahojiano, kufuatia agizo la Serikali la kulifunga kanisa hilo kwa madai ya ukiukaji wa sheria.

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA
Africa East Africa Rights & Freedoms Tanzania

The Chanzo yaondoa maudhui ya Askofu Gwajima kufuatia wito wa TCRA

Asia GambaMay 27, 2025

Katika video hiyo, Askofu Gwajima, ambaye pia ni kiongozi wa dini, alizungumza na wanahabari tarehe 24 Mei, 2025, akitoa maoni kuhusu mfululizo wa matukio ya utekaji yanayodaiwa kutokea nchini Tanzania. Maudhui hayo yalichapishwa kwenye chaneli ya The Chanzo Online TV kupitia YouTube.

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama
East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Askofu Gwajima ajiripua..aibua orodha ya Waliotekwa, ataka mabadiliko ya mfumo wa Usalama

Asia GambaMay 26, 2025

Mbunge huyo ambaye pia ni kiongozi wa dini, ameibua msururu wa matukio ya utekaji wa raia, akisisitiza kuwa vitendo hivyo haviendani na utamaduni wa Tanzania. Ameeleza kuwa amekuwa akipokea taarifa za matukio ya utekaji, ambapo amesema kuna orodha ya takribani watu 83 waliowahi kutekwa katika miaka ya hivi karibuni.

Uganda yasitisha ushirikiano wa Kijeshi na Ujerumani kwa tuhuma za Uhaini
East Africa Uganda

Uganda yasitisha ushirikiano wa Kijeshi na Ujerumani kwa tuhuma za Uhaini

Asia GambaMay 26, 2025

Jeshi la Uganda (UPDF) limetangaza kusitisha mara moja ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani, likimtuhumu Balozi wa Ujerumani nchini humo, Matthias Schauer, kwa kuendesha “shughuli za kihaini” ndani ya taifa hilo la Afrika Mashariki.

Chama tawala cha DRC kimemtaka Kabila aache kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
East Africa Politics

Chama tawala cha DRC kimemtaka Kabila aache kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

Asia GambaMay 26, 2025

Katika hotuba yake jana Jumapili, Katibu Mkuu wa chama cha Union for Democracy and Social Progress (UDPS), Augustin Kabuya, alimtuhumu Kabila kwa kuhusika na kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda na kudai kuwa Kabila “aliletwa kwa nguvu kututawala” na kwamba hana mamlaka tena ya kutoa mafunzo kuhusu demokrasia.

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa
Crime & Justice East Africa Gender Kenya Rights & Freedoms Social Issues

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa

Asia GambaMay 14, 2025

Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.

Serikali ya Marekani yapunguza tena ufadhili kwa Harvard licha ya kauli ya maridhiano ya Rais wa Chuo
Education People

Serikali ya Marekani yapunguza tena ufadhili kwa Harvard licha ya kauli ya maridhiano ya Rais wa Chuo

Asia GambaMay 14, 2025

Serikali ya Marekani imetangaza upunguzaji mpya wa ufadhili kwa Chuo Kikuu cha Harvard siku ya Jumanne, siku moja tu baada ya Rais wa chuo hicho, Alan Garber, kusema kuwa taasisi hiyo ina “mambo ya msingi yanayoshabihiana” na utawala wa Rais Donald Trump.

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege
East Africa Politics Tanzania

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege

Asia GambaMay 13, 2025

Tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya hivi karibuni yanayowalenga wanachama wa CHADEMA, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo