Marekani na Iran zakubaliana kumaliza vita, Hormuz kufunguliwa tena
Marekani na Iran zimetangaza kufikia makubaliano ya kusitisha vita vya Mashariki ya Kati katika maeneo yote ya mapigano, ikiwemo Lebanon, pamoja na kufungua tena Mlango wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani.