• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa
Crime & Justice East Africa Gender Kenya Rights & Freedoms Social Issues

AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa

Asia GambaMay 14, 2025

Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.

Serikali ya Marekani yapunguza tena ufadhili kwa Harvard licha ya kauli ya maridhiano ya Rais wa Chuo
Education People

Serikali ya Marekani yapunguza tena ufadhili kwa Harvard licha ya kauli ya maridhiano ya Rais wa Chuo

Asia GambaMay 14, 2025

Serikali ya Marekani imetangaza upunguzaji mpya wa ufadhili kwa Chuo Kikuu cha Harvard siku ya Jumanne, siku moja tu baada ya Rais wa chuo hicho, Alan Garber, kusema kuwa taasisi hiyo ina “mambo ya msingi yanayoshabihiana” na utawala wa Rais Donald Trump.

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege
East Africa Politics Tanzania

Kiongozi wa Upinzani Tanzania akamatwa Uwanja wa Ndege

Asia GambaMay 13, 2025

Tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya hivi karibuni yanayowalenga wanachama wa CHADEMA, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba.

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC
East Africa Politics Tanzania

Majimbo mapya ya Uchaguzi yaliyotangazwa na INEC

Asia GambaMay 12, 2025

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza kuanzishwa kwa majimbo mapya nane ya uchaguzi pamoja na kubadilishwa kwa majina ya majimbo mengine 12, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

Martha Karua: Kenya iko katika hali ya siasa na uchumi isiyovumilika
East Africa Kenya Politics

Martha Karua: Kenya iko katika hali ya siasa na uchumi isiyovumilika

Asia GambaMay 9, 2025

Mwanasiasa mkongwe Martha Karua ametangaza nia yake ya kugombea urais wa Kenya katika uchaguzi wa mwaka 2027, akisema kuwa nchi hiyo iko “katika hali ya vurugu kamili” kutokana na ufisadi, mauaji yanayotekelezwa na polisi, na kuzorota kwa uchumi.

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru
East Africa People Politics Social Issues Tanzania

EU yalaani ukandamizaji wa Demokrasia Tanzania, yataka Lissu aachiwe huru

Asia GambaMay 8, 2025

Katika mijadala yao, wabunge hao wamekemea waziwazi uwepo wa vitisho vya adhabu ya kifo kwa Lissu, wakisema kuwa mashtaka ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo dhidi yake ni ya kisiasa na yenye lengo la kumzuia kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa
East Africa Politics Tanzania

Siasa za visasi zadaiwa kukitafuna CHADEMA, G55 watangaza kujiondoa

Asia GambaMay 7, 2025

Kundi la viongozi wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), maarufu kama G55, limetangaza rasmi kujiondoa katika chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania, likidai kukithiri kwa ukiukwaji wa katiba, ubaguzi na siasa za visasi zinazoendeshwa na uongozi wa sasa.

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Mei 19, Mahakama yatoa onyo

Asia GambaMay 6, 2025

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa kwa siku 13 hadi Mei 19, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kueleza kuwa upelelezi haujakamilika.

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Bunge la Ulaya kujadili kesi ya Tundu Lissu Mei 7, 2025.

Asia GambaMay 5, 2025

Bunge la Ulaya linatarajia kukutana tarehe 7 Mei 2025 kwa ajili ya mjadala wa dharura kuhusu kesi inayomkabili Kiongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, Tundu Lissu. 

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani
Crime & Justice Politics Tanzania

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani

Asia GambaMay 5, 2025

Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa alikamatwa tarehe 9 Aprili 2025 majira ya saa za jioni akiwa Ruvuma muda mchache mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga.Usiku huo huo alisafirishwa hadi Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na kufikishwa katika kituo cha kati cha Polisi.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo