AMNESTY INTERNATIONAL:Maisha ya Giza ya Wakenya Saudi Arabia: Ubakaji, Ubaguzi na Utumwa wa Kisasa
Amnesty International yafichua mateso makali wanayopitia wanawake wa Kenya wanaofanya kazi za ndani nchini Saudi Arabia, ikiwemo ubakaji, ubaguzi wa rangi, njaa, na utumwa wa kisasa unaofanyika chini ya mfumo wa Kafala.