WFP yasitisha misaada katika kaunti ya Sudan Kusini baada ya msafara wao kushambuliwa
WFP ilisema ilishambuliwa wiki iliyopita katika jimbo jirani la Upper Nile, eneo jingine linalochukuliwa kuwa ngome ya vikosi vya Machar.
WFP ilisema ilishambuliwa wiki iliyopita katika jimbo jirani la Upper Nile, eneo jingine linalochukuliwa kuwa ngome ya vikosi vya Machar.
Mwanzoni mwa Januari, Washington ilisimamisha msaada huo kwa Somalia kufuatia taarifa za wizi na kuingiliwa kwa shughuli za misaada na Serikali ya Somalia. Marekani ilidai kuwa maofisa wa Somalia walikamata kinyume cha sheria tani 76 za chakula cha msaada kilichokuwa kimetolewa kwa ajili ya raia waliokuwa katika mazingira magumu.
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema yuko mafichoni kufuatia uchaguzi wa wiki iliyopita, huku kiongozi mwingine wa upinzani, Kizza Besigye, akiwa mahututi kutokana na hali mbaya ya afya, kwa mujibu wa mke wake.
Tundu Lissu ni mwanasiasa mkongwe wa upinzani na mmoja wa wakosoaji wakuu wa sera na utendaji wa serikali nchini Tanzania, anakabiliwa na mashtaka ya Uhaini ambayo anadaiwa kuyatenda mnamo mwezi Aprili 2025. Kesi yake imeibua mjadala mpana kuhusu uhuru wa kisiasa, nafasi ya upinzani na mwenendo wa haki katika masuala yanayogusa wanasiasa.
Zaidi ya watu milioni 20 wamejiandikisha kupiga kura katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki, huku Museveni mwenye umri wa miaka 81 akitarajiwa kwa kiasi kikubwa kuendelea kutawala kwa muhula mwingine, akisaidiwa na udhibiti wake mkubwa wa vyombo vya dola na usalama baada ya zaidi ya miongo minne madarakani.
Muswada huo unapendekeza kurekebisha baadhi ya vifungu vya katiba ya taifa hilo lenye utajiri wa shaba kusini mwa Afrika, ikiwemo kuongeza idadi ya viti vya wabunge wanaochaguliwa pamoja na kutenga viti 40 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Aidha, muswada huo unapendekeza kuondoa kikomo cha mihula miwili ya miaka mitano kwa mameya.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.
Taarifa ya polisi iliyotolewa leo, tarehe 12 Desemba 2025, imeeleza kuwa Mwambe ambaye aliwahi kuwa Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji na baadaye Wizara ya Viwanda na Biashara alikamatwa wakati wa operesheni ya kawaida ya kufuatilia masuala ya usalama jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hatua za awali za kisheria kuhusu tuhuma zinazomkabili zinaendelea kukamilishwa.
Maelfu wamekimbia huku raia wakijikuta tena katikati ya mapigano kati ya M23, jeshi la Congo na washirika wao.
Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Disemba 3, 2025 na Hakimu Mkazi Mkuu, Aaron Lyamuya, baada wakili wa Serikali, Titus Aron kuileleza Mahakama hiyo kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania( DPP) hana nia ya kuendelea na mashtaka shidi ya washtakiwa hao wawili.