• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki
East Africa Politics Tanzania

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki

Asia GambaJuly 30, 2024August 5, 2024

Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina akizungumza baada ya mawakili wake kueleza msingi wa kufungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, amesema kuwa zaidi ya mawakili 100 wameahidi kumuunga mkono katika kesi alizozifungua.

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji
Lifestyle & Health Social Issues Tanzania

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Utaalam huu unaojulikana kama Bone Marrow Manipulation- RBC Depletion ni utaalam unaofanywa na mashine maalum ( Apheresis machine) kwa kuchuja na kuchukua Uloto ulio kusudiwa kisha kumwekea mgonjwa ( kumpandikiza) uloto uliobakia. 

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda
Crime & Justice Uganda

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’
Crime & Justice East Africa Uganda

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Wanachama wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC) walikamatwa nchini Kenya na kushtakiwa kwa kile wakili Erias Lukwago alichokiita “unyanyasaji” kwa utaratibu wa kisheria na mamlaka ya Uganda.

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi
Crime & Justice Tanzania

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amesema kumekuwa na ushirikiano mdogo kwa waathiriwa wa utekaji pindi wanapohitajika na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kutoa ushirikiano utakaofanikisha upelelezi.

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti
Social Issues Tanzania

Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii saba wenye asili ya China na dereva raia wa Tanzania

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana
Crime & Justice Tanzania

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana

Asia GambaJuly 24, 2024August 7, 2024

Mawakili tisa wanaomwakilisha kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamefungua kesi dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camilius Wambura na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, wakiomba mteja wao aachiliwe huru na alipwe fidia.

Polisi nchini Uganda wazagaa kila kona kudhibiti maandamano yaliyopangwa kufanywa leo
Politics Uganda

Polisi nchini Uganda wazagaa kila kona kudhibiti maandamano yaliyopangwa kufanywa leo

Asia GambaJuly 23, 2024

Polisi nchini Uganda wamezagaa kila kona ya mji Mkuu wa nchi hiyo ili kudhibiti maandamano yaliyopangwa kufanywa leo Jumanne licha ya kuwa mamlaka zimepiga marufuku maandamano hayo.

Melivita ya Kichina ya matibabu yahudumia watu zaidi ya 5,000 kwa siku.
Social Issues Tanzania

Melivita ya Kichina ya matibabu yahudumia watu zaidi ya 5,000 kwa siku.

Asia GambaJuly 22, 2024August 7, 2024

Melivita ya matibabu iitwayo ‘Peace Ark’ ya Jeshi la Ukombozi la watu wa China imetoa matibabu kwa wagonjwa zaidi ya elfu 5,000 kwa siku Tano baada ya kukita nanga katika bandari ya Dar Es Salaam nchini Tanzania Julai 16, 2024 itakayotoa huduma kwa siku Saba. 

Ofisi za chama cha Bobi Wine zazingirwa na polisi kufuatia mpango wa maandamano Uganda
Politics Uganda

Ofisi za chama cha Bobi Wine zazingirwa na polisi kufuatia mpango wa maandamano Uganda

Asia GambaJuly 22, 2024

Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Rais Yoweri Museveni, ambaye ametawala nchi hiyo kwa mkono wa chuma kwa takriban miongo minne, kuonya kwamba Waganda wanaopanga kuingia mitaani Jumanne “wanacheza na moto”.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo