• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Waafrika Kusini leo wanapiga kura huku chama tawala cha ANC kikitajwa kupoteza umaarufu.
Africa Politics

Waafrika Kusini leo wanapiga kura huku chama tawala cha ANC kikitajwa kupoteza umaarufu.

Asia GambaMay 29, 2024August 7, 2024

Zaidi ya wapiga kura milioni 27 wameandikishwa katika uchaguzi ambao haukuwa na uhakika tangu chama cha African National Congress (ANC) kuliongoza taifa hilo kutoka kwa utawala wa kibaguzi — na huku Rais Cyril Ramaphosa akiomba kuchaguliwa tena.

DRC yatangaza Serikali mpya yenye Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini humo
Africa Politics

DRC yatangaza Serikali mpya yenye Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke nchini humo

Asia GambaMay 29, 2024July 3, 2024

Katika taarifa lililotolewa mapema leo na msemaji wa serikali ya Kongo Tina Salama na kurushwa na televisheni ya taifa RTNC, baraza hilo jipya lina mawaziri 54 ikilinganishwa na 57 katika serikali iliyopita.

Mchango wa kununua gari jipya la Lissu wafikia milioni 24.9 
East Africa Politics Tanzania

Mchango wa kununua gari jipya la Lissu wafikia milioni 24.9 

Asia GambaMay 27, 2024July 3, 2024

Kupitia ukurasa wa X Lissu alithibitisha kupokea kiasi hicho cha fedha na kuomba wadau waendelee kumchangia apate gari hilo “kwa ajili ya harakati za ukombozi”.

Tanzania kuwa mwenyeji maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.
East Africa Politics Tanzania

Tanzania kuwa mwenyeji maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika.

Asia GambaMay 23, 2024July 3, 2024

Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (PSC-AU) yatakayofanyika kesho Mei 25, 2024 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.

Mgogoro wa utekaji nyara nchini Nigeria
Africa War & Conflicts

Mgogoro wa utekaji nyara nchini Nigeria

Asia GambaMay 22, 2024July 3, 2024

Miaka kumi baada ya utekaji nyara wa wasichana wa shule ya Chibok, Nigeria inakabiliwa na kuzuka kwa utekaji nyara mkubwa.

Ni nini Kilichosababisha Mtandao Kukatika Afrika Mashariki?
Africa East Africa Science & Tech

Ni nini Kilichosababisha Mtandao Kukatika Afrika Mashariki?

Asia GambaMay 15, 2024July 3, 2024

Kukatika kwa mtandao kwa sasa katika Afrika Mashariki kunahusisha kukatwa mara tatu kwa nyaya za chini ya bahari na hitilafu katika mfumo mwingine. Ben Roberts wa Liquid Telecom aliripoti masuala na Mfumo wa Kebo wa Manowari wa Afrika Mashariki (EASSy) na nyaya za Seacom.

Samia:Afrika ni bara la chini kuwa na upatikanaji wa nishati safi ya kupikia
Africa East Africa Energy & Mining

Samia:Afrika ni bara la chini kuwa na upatikanaji wa nishati safi ya kupikia

Asia GambaMay 14, 2024July 3, 2024

Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tanzania inaendelea kutaabika kupata huduma ya Internet
East Africa Science & Tech Tanzania

Tanzania inaendelea kutaabika kupata huduma ya Internet

Asia GambaMay 14, 2024July 3, 2024

Mpaka hivi leo bado huduma ya mtandao maarufu kwa kimombo Internet haiko sawasawa na Serikali ya Tanzania kupitia Msemaji wake imesema bado haijajua ni lini huduma hiyo itarejea kwa uhakika.

Lissu, Mbowe kuongoza maandamano ingwe ya tatu katika mikoa 13 ya Tanzania bara
East Africa Politics Tanzania

Lissu, Mbowe kuongoza maandamano ingwe ya tatu katika mikoa 13 ya Tanzania bara

Asia GambaApril 18, 2024July 3, 2024

Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam katika makao makuu ya chama hicho Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje bwana John Mrema amesema hatua hiyo ni mwendelezo wa ajenda zao na makubaliano yaliyofanyika katika kikao kilichofanyika mkoani Mtwara maarufu Azimio la Mtwara na kwamba kamwe hawatarudi nyuma.

Dereva wa basi la shule lililosombwa na maji na kuua wanafunzi saba Arusha ashtakiwa kwa kuua bila kukusudiwa.
Accidents Crime & Justice East Africa Tanzania

Dereva wa basi la shule lililosombwa na maji na kuua wanafunzi saba Arusha ashtakiwa kwa kuua bila kukusudiwa.

Asia GambaApril 17, 2024July 3, 2024

Dereva huyo anayefahamika kwa majina ya Lukuman Hemed amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo Sheila Mameto huku kesi hiyo ikiahirishwa hadi Aprili 30 mwaka huu, baada ya Mawakili wa upande wa Jamhuri kusema upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo