• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

East Africa Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Rais Samia kuunda tume mbili kuchunguza kinachoendelea Ngorongoro

Asia GambaDecember 2, 2024

Amesema tume moja itachunguza na kutoa mapendekezo kuhusu masuala ya ardhi yanayolalamikiwa na wakazi wa Ngorongoro na nyingine itaangalia utekelezaji zoezi zima la uhamiaji kwa hiari kutoka eneo la Hifadhi ya Ngorongoro.

Polisi:Nondo alitelekezwa kwenye ufukwe wa Coco
East Africa Politics Tanzania

Polisi:Nondo alitelekezwa kwenye ufukwe wa Coco

Asia GambaDecember 2, 2024

Taarifa hiyo ya Polisi iliyotolewa leo Jumatatu, Desemba 2, 2024 na msemaji wake, David Misime imeeleza baada ya kutelekezwa katika fukwe hizo, aliomba msaada wa bodaboda kumfikisha katika ofisi za chama chake Magomeni, Dar es Salaam.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kipimo kwa Rais Samia.
East Africa Politics Tanzania

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kipimo kwa Rais Samia.

Asia GambaNovember 20, 2024

Uchaguzi huu utatoa picha ya hali ya kisiasa nchini Tanzania, hasa kuhusu demokrasia, haki za kisiasa, na uhuru wa vyama vya upinzani.

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne
Development Tanzania

TRC yasafirisha abiria 1,000,000 kupitia treni yake ya SGR ndani ya miezi minne

Asia GambaNovember 20, 2024

Kwa mujibu wa taarifa ya TRC iliyotolewa leo idadi hiyo ni mara mbili ya waliosafiri na treni ya zamani ya (MGR), ambayo ilisafirisha jumla ya abiria 400,000 katika kipindi cha mwaka mmoja.

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyetishia na kujeruhi katika Club ya 1245 kupandishwa kizimbani leo

Asia GambaNovember 20, 2024

Derick Junior(36), Ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), anayekabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi katika Club ya 1245 iliyopo Masaki Dar es salaam, leo anatarajiwa kusomewa hoja za awali katika kesi inayomkabili.

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao
Africa East Africa Politics Tanzania

Upinzani wa Tanzania wapinga wagombea wao kuzuiliwa kushiriki uchaguzi ujao

Asia GambaNovember 20, 2024

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema, kimeilalamikia mamlaka nchini humo kwamba wagombea wake wengi wamekataliwa “kwa njia isiyo ya haki” kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo. 

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.
Africa East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa Upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, adaiwa kutekwa akiwa nchini Kenya.

Asia GambaNovember 20, 2024

Mamlaka ya Uganda, ambayo ilisema kuwa zinachunguza taarifa za kupotea kwa Besigye, zimekuwa zikifanya ukandamizaji dhidi ya upinzani katika miezi ya hivi karibuni, kwa kuwakamata viongozi mashuhuri na kuwashtaki wanachama wa vyama vya upinzani.

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu
East Africa People Tanzania

Lawrence Mafuru afariki dunia nchini India alikokuwa akipatiwa matibabu

Asia GambaNovember 9, 2024

Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Lawrence Nyasebwa Mafuru, amefariki dunia leo Novemba 9,2024 katika Hospitali ya Apollo nchini India.

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo
East Africa Politics Tanzania

CCM yataka haki uchaguzi serikali za mitaa, yasema hawahitaji upendeleo

Asia GambaNovember 8, 2024

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, ametoa msisitizo kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kutenda haki kwa vyama vyote vilivyosimamisha wagombea katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi
East Africa Politics Tanzania

Tamisemi yawataka wagombea wasioridhishwa na uteuzi wakaweke pingamizi

Asia GambaNovember 8, 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mohamed Mchengerwa amewataka wagombea wote ambao hawajaridhishwa na uteuzi wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  waweke pingamizi ndani ya siku 2 kuanzia leo tarehe 08 – 09/11/2024.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy