• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika
Africa Lifestyle & Health

CDC:Maambukizi ya Mpox yamepungua kidogo Barani Afrika

Asia GambaNovember 8, 2024

Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Umoja wa Afrika Jean Kaseya amesema maambukizi ya mpox yamepungua kidogo barani Afrika, ingawa bado janga hilo halijaisha.

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani
East Africa Food Security Social Issues Tanzania

UTAFITI:Ongezeko la matumizi ya viuatilifu katika kuzalisha mboga za majani nchini chanzo cha magonjwa hatari ikiwemo Saratani

Asia GambaNovember 7, 2024

Matokeo ya utafiti huo uliofanywa katika mikoa yote nchini, yanaonesha matumizi ya viuatilifu kwenye uzalishaji mboga za majani yanachangia kwa kiasi kikubwa ongezeko la magonjwa yasiyoambukizwa kwa binadamu kama vile saratani, kisukari na matatizo ya uzazi.

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo
Africa Politics

Msumbiji yatuma Wanajeshi kabla ya maandamano kuanza leo

Asia GambaNovember 7, 2024

Wanajeshi na polisi walikuwa wakifanya doria katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo, mapema leo Alhamisi, kabla ya maandamano yaliyopangwa ya kupinga matokeo ya uchaguzi ambayo upinzani unadhani yana udanganyifu.

Biden kuhutubia Wananchi baada ya Trump kushinda uchaguzi Marekani.
Europe North America Politics

Biden kuhutubia Wananchi baada ya Trump kushinda uchaguzi Marekani.

Asia GambaNovember 7, 2024

Biden mwenye umri wa miaka 81 alijitoa kwenye kinyang’anyiro dhidi ya Trump mnamo Julai na kumkabidhi uteuzi wa chama cha Democratic kwa makamu rais Kamala Harris, lakini sasa anatarajiwa kuona urithi wake ukibomolewa na urejesho wa kushangaza wa Trump.

Afrika Kusini yafunga mpaka wake na  Msumbiji kufuatia machafuko
Africa Politics

Afrika Kusini yafunga mpaka wake na Msumbiji kufuatia machafuko

Asia GambaNovember 6, 2024

Msumbiji imetikiswa na machafuko tangu uchaguzi wa urais uliofanyika Oktoba 9, ambapo chama cha Frelimo kilishinda, chama kilichokuwa madarakani tangu mwaka 1975, katika uchaguzi ulioelezewa kama uliojaa udanganyifu na upinzani.

Trump anusa ushindi dhidi ya Harris katika uchaguzi wa rais wa Marekani
Europe International North America Politics

Trump anusa ushindi dhidi ya Harris katika uchaguzi wa rais wa Marekani

Asia GambaNovember 6, 2024November 6, 2024

Mitandao ya habari ya Marekani imetangaza kwamba Trump alishinda majimbo muhimu ya Pennsylvania, Georgia, na North Carolina, na anaongoza dhidi ya Makamu wa Rais wa Democratic, Kamala Harris, katika majimbo mengine ingawa hayajatangazwa rasmi bado

Mitandao ya Kijamii yafungwa  nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi
Africa Politics

Mitandao ya Kijamii yafungwa nchini Mozambique katikati ya maandamano ya uchaguzi

Asia GambaOctober 31, 2024

Upatikanaji wa mitandao ya kijamii nchini Mozambique umekuwa na vizuizi kwa mara ya pili ndani ya wiki moja, taarifa kutoka kwa shirika la kimataifa linalofuatilia masuala ya mtandao ilisema, wakati upinzani ukitoa wito wa mgomo wa kitaifa kufuatia uchaguzi wa rais uliozua utata.

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium
East Africa Energy & Mining Tanzania

Tanzania mbioni kuzalisha madini ya Niobium

Asia GambaOctober 31, 2024

Madini ya Niobium hutumika katika mitambo ya uchorongaji katika utafiti na uchakataji wa mafuta, gesi pamoja na utengenezaji wa magari.

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar
Crime & Justice East Africa Tanzania

Aliyemtishia bastola mwenzake kwenye Club akamatwa na polisi Dar

Asia GambaOctober 28, 2024October 28, 2024

Taarifa ya Polisi imekuja siku moja baada ya tukio hilo kusambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha picha ya mjongeo ambayo inamuonyesha mwanaume mmoja ambaye ametambulika kwa jina la Derick Derick Junior akimpiga mwanaume mwengine hadi kumjeruhi na kisha kumtishia silaa.

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
Arts & Culture East Africa Tanzania

Majaliwa:Watanzania tulinde utamaduni wetu kwa faida ya vizazi vijavyo.

Asia GambaOctober 28, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania wahakikishe wanalinda utamaduni na kujenga misingi ya kuhamasisha vijana na vizazi vijavyo kutambua na kuenzi historia na urithi wa Mtanzania.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy