• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Kesi Ya Tundu Lissu Yaahirishwa Hadi Aprili 28
East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Kesi Ya Tundu Lissu Yaahirishwa Hadi Aprili 28

Asia GambaApril 24, 2025April 24, 2025

Wakili Alute Mghwai ambaye pia ni ndugu wa Lissu, alieleza kuwa hali anayoishi Lissu akiwa gerezani ni kama tayari ameshahukumiwa, jambo linalokiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani

Asia GambaApril 23, 2025

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa tahadhari kwa wananchi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaopanga kufanya mikusanyiko na maandamano ya kuishinikiza Serikali kuachiwa huru Mwenyekiti wa chama hicho Taifa ambaye kesho Aprili 24,2025 atafikishwa mahakamani.

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya  kugombea Urais
Africa Politics

Kiongozi wa Upinzani Ivory Coast, Tidjane Thiam,aondolewa kwenye nafasi ya kugombea Urais

Asia GambaApril 23, 2025

Thiam, ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa kiongozi wa chama cha Democratic Party of Ivory Coast (PDCI), ameondolewa kwa madai kuwa alipoteza uraia wa Ivory Coast baada ya kupata uraia wa Ufaransa mwaka 1987.

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni
Education Europe Rights & Freedoms Social Issues

Mahakama Kuu ya Marekani kusikiliza kesi dhidi ya vitabu vya LGBTQ Mashuleni

Asia GambaApril 22, 2025

Mahakama Kuu ya Marekani, ambayo ina wingi wa majaji wa mrengo wa kihafidhina, inatarajiwa kusikiliza kesi leo Jumanne kuhusu iwapo wazazi wana haki ya kidini kuwazuia watoto wao kuhudhuria madarasa yanayosoma au kujadili vitabu vyenye maudhui ya LGBTQ.

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”
Africa East Africa People Religion Social Issues

Viongozi wa Afrika wamsifu Papa Francis kwa “Urithi wa Huruma”

Asia GambaApril 21, 2025

Francis, ambaye alijulikana kwa jitihada zake za kufanya mageuzi ndani ya Kanisa Katoliki na aliwahamasisha wengi, alifariki akiwa na umri wa miaka 88. 

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja
Development East Africa Tanzania

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja

Asia GambaApril 16, 2025

Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.

Amnesty International yaitaka Tanzania kumwachilia huru kiongozi wa upinzani Tundu Lissu
East Africa Politics Tanzania

Amnesty International yaitaka Tanzania kumwachilia huru kiongozi wa upinzani Tundu Lissu

Asia GambaApril 12, 2025

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, limeitaka serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja na bila masharti yoyote kiongozi wa chama cha upinzani Chadema, Tundu Lissu, aliyekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

ACT Wazalendo: Hakuna Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi katika Bajeti ya Waziri Mkuu
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo: Hakuna Mabadiliko ya Sheria za Uchaguzi katika Bajeti ya Waziri Mkuu

Asia GambaApril 10, 2025

Chama cha ACT Wazalendo kimeeleza wasiwasi wake kuhusu kutoweka kwa matumaini ya mageuzi katika sheria za uchaguzi, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. 

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa
East Africa Politics Tanzania

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa

Asia GambaApril 10, 2025

Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka
East Africa People Tanzania

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka

Asia GambaApril 9, 2025April 12, 2025

Haya yameelezwa leo Aprili 9,2025, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo ameeleza kuwa takwimu zilizopo watu 1,690,948 wanaishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo