• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Jaji Ngwembe:Watoto wasitumike kutoa ushahidi wa uongo 
Africa East Africa

Jaji Ngwembe:Watoto wasitumike kutoa ushahidi wa uongo 

Asia GambaMarch 10, 2023March 10, 2023

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wanaowatumia watoto kutoa ushahidi wa uongo mahakamani. 

Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia wafunguliwa rasmi
Africa East Africa

Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia wafunguliwa rasmi

Asia GambaMarch 10, 2023March 10, 2023

Hafla ya ufunguzi wa ofisi hizo imefanywa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania na Namibia, wakiwemo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, mabalozi wa nchi za Afrika na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini humo.

Raia wa China mbaroni akidaiwa kuiba Saruji kwenye mradi wa SGR.
Africa East Africa

Raia wa China mbaroni akidaiwa kuiba Saruji kwenye mradi wa SGR.

Asia GambaMarch 10, 2023March 10, 2023

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu 11 akiwemo raia wa China, Meng Zhaon Ming (29) kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa saruji  na mafuta aina ya Diesel katika mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga .

Rais Samia:Tuna dola za kututosha kutuhudumia miezi 4 tofauti na majirani zetu 
Africa East Africa

Rais Samia:Tuna dola za kututosha kutuhudumia miezi 4 tofauti na majirani zetu 

Asia GambaMarch 9, 2023March 9, 2023

Rais Samia ametoa kauli hiyo jana Jumatano, katika mkutano wa hadhara wa Siku ya Wanawake Duniani ulioandaliwa na chama kikuu cha upinzani kupitia baraza lake la wanawake wa CHADEMA, alisema nchi hiyo iko imara kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote ya Afrika Mashariki.

Rais Samia ahaidi mchakato wa Katiba kuanza hivi karibuni
Africa East Africa

Rais Samia ahaidi mchakato wa Katiba kuanza hivi karibuni

Asia GambaMarch 8, 2023March 8, 2023

Ametoa ahadi hiyo leo tarehe 8 Machi 2023, katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro, baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumuomba marekebisho hayo yakamilike kabla 2025.

BAWACHA wampokea kwa shangwe Rais Samia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
Africa East Africa

BAWACHA wampokea kwa shangwe Rais Samia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Asia GambaMarch 8, 2023March 8, 2023

Maadhimisho hayo ambayo Bawacha wanafanya Kitaifa mjini Moshi katika Ukumbi wa Kuringe pia yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa.

Jaji Ngwembe ahimiza matumizi ya sayansi katika upelelezi
Africa East Africa

Jaji Ngwembe ahimiza matumizi ya sayansi katika upelelezi

Asia GambaMarch 7, 2023March 7, 2023

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe awasisitiza wadau wa Haki Jinai kuzingatia matumizi ya sayansi wakati wa upelelezi ili kuirahisishia Mahakama wakati wa kutafsiri sheria.

Ahukumiwa kifugo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kumzaa
Africa East Africa

Ahukumiwa kifugo cha maisha jela kwa kumnajisi mtoto wake wa kumzaa

Asia GambaMarch 6, 2023March 6, 2023

Awali, kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mtoto huyo ambaye jina lake limehifadhiwa alieleza kuwa kila alipokuwa anakataa kufanyiwa kitendo hicho ,baba yake alikuwa anamng’ata na kumpiga sehemu za mwili wake na kumtishia.

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.
Sports

Sakata la Fei Toto na Yanga kumalizwa muda wowote kuanzia sasa.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania
Africa East Africa

Mahitaji ya gesi kwenye magari yaongezeka nchini Tanzania

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi kutoka TPDC Dkt. Wellington Hudson amesema, hivi karibuni kumekuwa na misururu mirefu ya magari kuingia kwenye vituo vya kujazia gesi baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya watumiaji huku kituo kimoja kikisitisha kutoa huduma kutokana na matengenezo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy