Jaji Ngwembe:Watoto wasitumike kutoa ushahidi wa uongo
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wanaowatumia watoto kutoa ushahidi wa uongo mahakamani.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe amekemea tabia ya baadhi ya wazazi na walezi wanaowatumia watoto kutoa ushahidi wa uongo mahakamani.
Hafla ya ufunguzi wa ofisi hizo imefanywa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Stergomena Tax na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Tanzania na Namibia, wakiwemo Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Namibia, Netumbo Nandi-Ndaitwah, mabalozi wa nchi za Afrika na viongozi wa Jumuiya ya Watanzania wanaoishi nchini humo.
Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu 11 akiwemo raia wa China, Meng Zhaon Ming (29) kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa saruji na mafuta aina ya Diesel katika mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga .
Rais Samia ametoa kauli hiyo jana Jumatano, katika mkutano wa hadhara wa Siku ya Wanawake Duniani ulioandaliwa na chama kikuu cha upinzani kupitia baraza lake la wanawake wa CHADEMA, alisema nchi hiyo iko imara kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote ya Afrika Mashariki.
Ametoa ahadi hiyo leo tarehe 8 Machi 2023, katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, yaliyofanyika mkoani Kilimanjaro, baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kumuomba marekebisho hayo yakamilike kabla 2025.
Maadhimisho hayo ambayo Bawacha wanafanya Kitaifa mjini Moshi katika Ukumbi wa Kuringe pia yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, dini na vyama vya siasa.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Morogoro, Paul Ngwembe awasisitiza wadau wa Haki Jinai kuzingatia matumizi ya sayansi wakati wa upelelezi ili kuirahisishia Mahakama wakati wa kutafsiri sheria.
Awali, kabla ya kutolewa kwa hukumu hiyo, mtoto huyo ambaye jina lake limehifadhiwa alieleza kuwa kila alipokuwa anakataa kufanyiwa kitendo hicho ,baba yake alikuwa anamng’ata na kumpiga sehemu za mwili wake na kumtishia.
Mwanasheria Fatma Karume ambaye anamwakilisha mchezaji Feisal Salum (Fei Toto) amesema kuwa wameiachia kamati itafakari upya maamuzi kuhusu mvutano wa…
Mkurugenzi wa Biashara ya Mafuta na Gesi kutoka TPDC Dkt. Wellington Hudson amesema, hivi karibuni kumekuwa na misururu mirefu ya magari kuingia kwenye vituo vya kujazia gesi baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya watumiaji huku kituo kimoja kikisitisha kutoa huduma kutokana na matengenezo.