• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe
Africa East Africa

Katekista adaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mkoani Njombe

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Simon Njavike (43) mkazi wa Mlangali wilayani Ludewa, mkoani Njombe, ambaye ni katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mlangali amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya wilaya hiyo akidaiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 17.

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.
Africa East Africa

Tanzania kurejea upya gharama za upandikizaji mimba.

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, imejipanga kurejea upya gharama za upandikizaji wa mimba kwa wananchi wenye matatizo ya uzazi na kutopata watoto, ili kuwapunguzia mzigo wa gharama kubwa endapo watajiunga na bima ya afya kwa wote.

Tundu Lissu apokewa kwa kishindo nchini Tanzania
East Africa People Politics

Tundu Lissu apokewa kwa kishindo nchini Tanzania

Asia GambaJanuary 25, 2023January 25, 2023

Lissu amerejea nchini baada ya kuwa uhamishoni kwa zaidi ya miaka 7

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko
East Africa Europe Tanzania War & Conflicts

Mwili wa Mtanzania aliyefia Ukraine kurudishwa Tanzania kwa ajili ya maziko

Asia GambaJanuary 24, 2023July 2, 2024

Kwa mujibu wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, nchini Tanzania, Dk Stergomena Tax  mtanzania huyo alikwenda nchini Urusi mwaka 2020 kwa ajili ya masomo ya shahada ya uzamili katika fani ya biashara, lakini mwezi machi 2022 alipatikana na hatia ya uhalifu na kuhudukumiwa kifungo cha miaka 7.

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka dada yeke.
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumbaka dada yeke.

Asia GambaJanuary 24, 2023January 24, 2023

Mkazi wa Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, Frank Kigomba (31) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 na kulipa fidia ya Shilingi 500,000 kwa kosa la kumbaka dada yake wa tumbo moja mwenye umri wa miaka 15.

Polisi mkoani Kagera yaua watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi
Africa East Africa

Polisi mkoani Kagera yaua watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi

Asia GambaJanuary 23, 2023January 23, 2023

Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Kagera, William Mwampaghale amesema tukio hilo limetokea Januari 21, 2023  saa 3:35 usiku katika maeneo ya Barabara ya Kumunazi kwenda Relenge, Wilaya ya Ngara.

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga mumewe na nyundo
Africa

Ahukumiwa mwaka mmoja jela kwa kosa la kumpiga mumewe na nyundo

Asia GambaJanuary 23, 2023January 23, 2023

Mwanamke mmoja huko Zambia amehukumiwa kifungo cha miezi 12 jela kwa kosa la kumpiga mumewe baada ya kukataa kumpa pesa za karo, vitabu na mahitaji mengine ya watoto.

Watu saba washikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya Hakimu nchini Tanzania.
Africa East Africa

Watu saba washikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya Hakimu nchini Tanzania.

Asia GambaJanuary 23, 2023January 23, 2023

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga alisema jana kuwa mauaji hayo yalitokea Januari 20 mwaka huu katika Kijiji cha Kibole wilayani Rungwe mkoani humo.

Viongozi wa Serikali wadaiwa kuomba rushwa kupitisha posho za walimu
Africa East Africa

Viongozi wa Serikali wadaiwa kuomba rushwa kupitisha posho za walimu

Asia GambaJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amekemea vikali tabia ya baadhi viongozi kuomba rushwa ili kupitisha posho za madaraka kwa Walimu Wakuu.

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.
Africa East Africa

Neema kwa wakulima wa chai wilaya ya Kilolo yatangazwa.

Asia GambaJanuary 20, 2023January 20, 2023

Waziri wa Kilimo nchini humo Hussein Bashe alisema serikali imetenga shilingi  Milioni 300 zilizoanza kutumika kusafisha hekta 2,900 za mashamba ya kampuni ya Chai Kilolo zilizotelekezwa kwa miaka 34

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy