• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali
East Africa Lifestyle & Health Uganda

Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali

Asia GambaFebruary 19, 2025

Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali
East Africa Tanzania Uncategorized

Wanahabari nchini Tanzania kuanza kutumia kadi za habari za kidijitali

Asia GambaFebruary 18, 2025

Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa kuanzia mwaka huu, wanahabari nchini Tanzania watatolewa kadi za habari za kidijitali kama sehemu ya mpango wa serikali wa kuboresha sekta ya habari.

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii
Crime & Justice East Africa People Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

TLS yasisitiza Utu, Upendo na Utii kuondoa migogoro ya kijamii

Asia GambaFebruary 18, 2025

Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi leo Jumanne Februari 18, 2025, kwenye Uzinduzi wa kampeni ya Kitaifa ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Jijini Mwanza, ameshauri kuzingatiwa kwa Ibara ya Tisa ya Katiba ya Tanzania yenye kuhimiza kuhusu utu, Upendo na utii kama suluhu ya migogoro mingi ya kijamii.

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo
East Africa Infrastructure Tanzania Uncategorized

Tanzania yakanusha uwepo wa mwekezaji aliyepewa bandari ya Bagamoyo

Asia GambaFebruary 14, 2025

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa, amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Tanzania imesaini mkataba wa kuipa Kampuni ya Saudi-Africa Development Company (SADC) haki ya kuendesha Bandari ya Bagamoyo.

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU
Africa East Africa People Social Issues Tanzania

Rais Samia awasili Ethiopia tayari kushiriki mkutano wa AU

Asia GambaFebruary 14, 2025

Ziara ya Rais Samia nchini Ethiopia imeanza leo ambapo anatarajia kuhitimisha Februari 16,2025.

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, “anaumwa vibaya” gerezani: Wakili
Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Uganda

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, “anaumwa vibaya” gerezani: Wakili

Asia GambaFebruary 13, 2025

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, anasema kuwa “anaumwa vibaya” gerezani siku tatu baada ya kuanza mgomo wa kula kupinga kizuizi chake, alieleza mmoja wa mawakili wake.

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Besigye, agoma kula akipinga kufungwa kwake
East Africa Politics Uganda

Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Besigye, agoma kula akipinga kufungwa kwake

Asia GambaFebruary 12, 2025February 15, 2025

Baada ya ripoti za vyombo vya habari kuhusu hatua hii, wakili Elias Lukwago amesema kuwa Besigye, mwenye umri wa miaka 68, alianza mgomo wake wa kula tangu  Jumatatu, akisema kuwa “hajabaki na chaguo ila kuanza mgomo wa kula”.

Mgogoro wa DRC kutawala kikao cha Umoja wa Afrika
Africa East Africa International War & Conflicts

Mgogoro wa DRC kutawala kikao cha Umoja wa Afrika

Asia GambaFebruary 12, 2025

Umoja wa nchi 55 unakutana kuanzia Ijumaa katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa, ambapo bara la Afrika linakutana na migogoro mikubwa inayoendelea katika DRC na Sudan, pamoja na kupunguzwa kwa msaada wa maendeleo kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump, hatua inayolitesa bara hili kwa kiasi kikubwa.

Hali ya mapigano yazidi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Africa East Africa War & Conflicts

Hali ya mapigano yazidi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Asia GambaFebruary 11, 2025February 11, 2025

Mapigano yalizuka tena leo Jumanne mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya mapumziko ya siku mbili, ambapo wapiganaji wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda walishambulia maeneo ya jeshi la Congo katika jimbo la South Kivu asubuhi, kwa mujibu wa vyanzo vya eneo na usalama vilivyosema.

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania
East Africa People Social Issues Tanzania

Madereva bodaboda 759 na abiria 283 wafariki dunia kwa ajali kati ya 2023/24 nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 11, 2025

Imeelezwa kuwa jumla ya madereva bodaboda 759 wamefariki dunia kutokana na ajali za barabarani kati ya mwaka 2022 na 2024.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo