• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka
Asia Features International Politics

Papa Francis ahimiza utulivu nchini Sri Lanka

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara
Africa Features People Politics

Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais
Africa Features People Politics

Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais

Maureen MedzaMay 11, 2022May 11, 2022

Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963
Europe Features International People Politics

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Malkia Elizabeth II mwenye umri wa miaka 96 kwa kawaida husimamia tukio hilo lililojaa fahari

Raia 14 wauawa katika shambulizi mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Raia 14 wauawa katika shambulizi mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

CODECO — jina la Ushirika wa Maendeleo ya Congo — ni dhehebu la kisiasa-kidini ambalo linadai kuwakilisha maslahi ya kabila la Lendu.

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa
Asia Features Middle East

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Akhundzada pia aliamuru mamlaka kuwafuta kazi wafanyikazi wa serikali wa kike ambao hawafuati kanuni mpya ya mavazi, na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa kiume ikiwa wake na binti zao watakosa kufuata sheria hizo.

Mwanawe rais wa zamani wa Ufilipino Ferdinard Marcos apata ushindi wa urais
Asia Features International People Politics

Mwanawe rais wa zamani wa Ufilipino Ferdinard Marcos apata ushindi wa urais

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Ushindi wa Marcos ni pigo kubwa kwa mamilioni ya Wafilipino ambao walitarajia kubadili mwelekeo baada ya miaka sita ya umwagaji damu ya utawala wa kimabavu wa Rais Rodrigo Duterte.

Mazungumzo ya COP15 yakukabiliana na kuenea kwa jangwa yafanyika Abidjan
Africa Features Nature People

Mazungumzo ya COP15 yakukabiliana na kuenea kwa jangwa yafanyika Abidjan

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Miongo kadhaa ya kilimo kisicho endelevu kimedhoofisha udongo duniani kote na kuharakisha ongezeko la joto duniani na upotevu wa viumbe, UNCCD inasema, huku takriban asilimia 40 ya ardhi ikiharibika kote duniani.

Zaidi ya wahamiaji 40 wamezama baharini karibu na Sahara Magharibi
Africa Features

Zaidi ya wahamiaji 40 wamezama baharini karibu na Sahara Magharibi

Maureen MedzaMay 9, 2022May 9, 2022

Mamlaka ya Morocco ilisimamisha zaidi ya vivuko 63,120 mwaka jana na kufunga mitandao 256 ya magendo.

Nigeria: Watu wenye silaha wawaua 48 katika mashambulizi kaskazini magharibi
Africa Features

Nigeria: Watu wenye silaha wawaua 48 katika mashambulizi kaskazini magharibi

Maureen MedzaMay 9, 2022May 9, 2022

Mashambulizi mabaya zaidi yalikuwa katika kijiji cha Damri ambapo watu wenye silaha waliua watu 32 wakiwemo wagonjwa hospitalini,

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo