• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya: Google kuanzisha kituo cha kwanza kikubwa Afrika, jijini Nairobi
Africa Business / Finance Features International

Kenya: Google kuanzisha kituo cha kwanza kikubwa Afrika, jijini Nairobi

Maureen MedzaApril 21, 2022April 21, 2022

Google ni kati ya makampuni makubwa ya kiteknolojia yanayoanzisha vituo vya uvumbuzi jijini Nairobi.

Tetemeko la ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter lapiga pwani ya Nicaragua: USGS
Environment Features International Nature

Tetemeko la ukubwa wa 6.7 katika kipimo cha Richter lapiga pwani ya Nicaragua: USGS

Maureen MedzaApril 21, 2022April 21, 2022

Tetemeko la ardhi la kipimo cha 6.7 lilitokea kwenye pwani ya magharibi ya Nicaragua siku ya Alhamisi,

Italia yatia saini mkataba wa gesi na Angola ikitaka kukomesha utegemezi kwa Urusi
Africa Europe Features International Politics

Italia yatia saini mkataba wa gesi na Angola ikitaka kukomesha utegemezi kwa Urusi

Maureen MedzaApril 21, 2022April 21, 2022

Italia inataka kuongeza Angola na Congo-Brazzaville kwenye orodha ya mataifa wasambazaji wa gesi kuchukua nafasi ya Urusi, ambayo huisambazia Italia takriban asilimia 45 ya gesi

Nigeria: Watu watatu wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika shambulizi kwenye baa
Africa Features

Nigeria: Watu watatu wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika shambulizi kwenye baa

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Taraba ni mojawapo ya majimbo kadhaa ya kaskazini yaliyoharibiwa na magenge ya wahalifu wa wezi wa mifugo wanaovamia vijiji, kuua wakazi na kupora nyumba pamoja na kuwateka nyara watu ili wadai fidia.

Mwanariadha wa Bahrain mzaliwa wa Kenya apatikana kafariki nyumbani kwake
East Africa Features People Sports

Mwanariadha wa Bahrain mzaliwa wa Kenya apatikana kafariki nyumbani kwake

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore

Ziwa Tanganyika lafurika na kuwalazimu waburundi kuhama makazi yao
Africa Features

Ziwa Tanganyika lafurika na kuwalazimu waburundi kuhama makazi yao

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Asilimia 65 ya watu waliohamishwa kutokana na kufirika kwa ziwa hilo ni watoto.

UN inasema watu milioni tisa wanahitaji msaada nchini Sudan Kusini
Africa Features Politics

UN inasema watu milioni tisa wanahitaji msaada nchini Sudan Kusini

Maureen MedzaApril 19, 2022April 19, 2022

Mapigano yamepamba moto upya katika taifa hilo licha ya ahadi ya Rais Salva Kiir na Makamu wa Rais Riek Machar, kujitahidi kutekeleza vifungu muhimu vya mapatano ya amani

Afrika Kusini: Idadi ya vifo kutokana na mafuriko imeongezeka hadi 443
Africa Environment Nature

Afrika Kusini: Idadi ya vifo kutokana na mafuriko imeongezeka hadi 443

Maureen MedzaApril 19, 2022April 19, 2022

Wanasayansi wanaonya kuwa mafuriko na matukio mengine mabaya ya hali ya hewa yanazidi kuwa na nguvu kadiri dunia inavyozidi kuwa na joto kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa.

DR Congo: Wanajeshi ‘walevi’ waua watu 15
Africa East Africa Features

DR Congo: Wanajeshi ‘walevi’ waua watu 15

Maureen MedzaApril 19, 2022April 19, 2022

Wanajeshi wawili wamewaua kwa risasi jumla ya watu 15, ikilaumu shambulizi hilo kutokana na wanajeshi hao kulewa chakari.

Ronaldo atangaza kifo cha mwanawe wa kiume
Europe Features Football International People Sports

Ronaldo atangaza kifo cha mwanawe wa kiume

Maureen MedzaApril 19, 2022April 19, 2022

Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wametangaza Jumatatu kuwa mtoto wao mchanga amefariki dunia. Ronaldo alifichua katika chapisho la…

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo