• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu
Features International

“Acheni kuua” Rais wa El Salvador ayaonya magenge ya uhalifu

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Idadi kubwa ya mauaji yaliyoshuhudiwa mwishoni mwa juma yalidaiwa kuamriwa na magenge ya Mara Salvatrucha (MS-13) na Barrio 18.

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Europe Features Football International People

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.

Watu wenye silaha washambulia treni ya abiria kaskazini magharibi mwa Nigeria
Africa Features

Watu wenye silaha washambulia treni ya abiria kaskazini magharibi mwa Nigeria

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Hili lilikuwa ni shambulizi la hivi punde zaidi lililohusishwa na magenge ya wahalifu wenye silaha, ambao wanalaumiwa kwa kuongezeka kwa ghasia na utekaji nyara mkubwa kaskazini magharibi mwa Nigeria.

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke
Features

Kenya yawaachilia waendesha bodaboda 16 waliokuwa wameshikiliwa kwa kumnyanyasa kijinsia dereva mwanamke

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Mahakama ya Nairobi iliamuru waachiliwe huru baada ya upande wa mashtaka kusema hawakuwa na ushahidi wa kutosha kuwahusisha waendeshaji bodaboda hao na uhalifu.

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars
Arts & Culture Entertainment Features International People

“Sanaa yaiga maisha,” Will Smith baada ya kumzaba kofi mcheshi Chris Rock wakati wa tuzo za Oscars

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Rock alifanya mzaha akilinganisha nywele za Jada Pinkett Smith alizonyoa na mwonekano wa Demi Moore katika filamu ‘GI Jane’

Mashambulizi mawili nchini Somalia yaua watu 48 kabla siku ya uchaguzi
Africa Features

Mashambulizi mawili nchini Somalia yaua watu 48 kabla siku ya uchaguzi

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Taifa hilo la Pembe ya Afrika limeshuhudia mashambulizi mengi katika wiki za hivi karibuni huku likipitia mchakato wa uchaguzi uliochelewa kwa muda mrefu.

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili
Africa Features People

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Kiongozi wa chama tawala cha zamani nchini Burkina Faso alikamatwa siku ya Jumapili baada ya kukosoa hali ambayo rais wa zamani Roch Marc Christian Kabore amewekwa na serikali tawala

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine
Europe International Middle East War & Conflicts

EU inakanusha kutumia vigezo viwili tofauti kushughulikia wakimbizi wa Syria na wale wa Ukraine

Maureen MedzaMarch 18, 2022July 2, 2024

Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.

Finland imetajwa kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa tano
Europe Features

Finland imetajwa kama nchi yenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa tano

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

Finland inajulikana kwa huduma zake za umma zinazofanya kazi vizuri, imani iliyoko katika mamlaka na viwango vya chini vya uhalifu na usawa kati ya jamii.

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika
Africa Europe Features International

Vita vya Ukraine: Bei za bidhaa muhimu zapanda na mfumuko wa bei washuhudiwa Afrika

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

“Vita vya Ukraine vinamaanisha njaa barani Afrika,” Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Kristalina Georgieva alisema Jumapili.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo