• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya yachunguza wizi wa kondomu na dawa zilizotolewa na shirika la misaada Global Fund
East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya yachunguza wizi wa kondomu na dawa zilizotolewa na shirika la misaada Global Fund

Maureen MedzaMarch 18, 2022March 18, 2022

Takribani kondomu milioni 1.1, vyandarua 908,000 na dawa za kifua kikuu zenye thamani ya $91,000 ziliibwa kutoka kwa ghala ya (KEMSA)

Mwandishi wa Uganda ashtakiwa kwa matumizi mabaya ya kompyuta
Africa East Africa Features People

Mwandishi wa Uganda ashtakiwa kwa matumizi mabaya ya kompyuta

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Uganda imeshuhudia msururu wa mikasa inayolenga kukomesha upinzani, huku waandishi wa habari wakishambuliwa, mawakili kufungwa, waangalizi wa uchaguzi kufunguliwa mashtaka na viongozi wa upinzani kunyamazishwa.

Jeshi lililochukua uongozi Mali laamuru kituo cha Ufaransa RFI, na France 24 kusimamisha matangazo yao
Africa Features Politics

Jeshi lililochukua uongozi Mali laamuru kituo cha Ufaransa RFI, na France 24 kusimamisha matangazo yao

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

RFI (Radio France Internationale) na France 24 zinaripoti habari za Kiafrika kwa upana na zina ufuasi mkubwa katika koloni la zamani la Ufaransa.

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu
Europe Features International

Jumba la maonyesho Ukraine, lililowapa hifadhi zaidi ya raia 1,000 lalipuliwa kwa mabomu

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Zaidi ya watu 2,000 wameuawa katika mji huo wa Mariupol kulingana na mamlaka ya Ukraine.

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features International

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine yazusha hofu ya njaa mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMarch 17, 2022March 17, 2022

Bei ya unga wa mahindi, mchele, sukari, mafuta na nyanya imepanda, na hivyo kutoa changamoto kubwa kwa wale wanoishi kwa dola kadhaa kwa siku.

Somalia yaahirisha uchaguzi tena huku muda wa makataa ukiisha
Africa East Africa People Politics

Somalia yaahirisha uchaguzi tena huku muda wa makataa ukiisha

Maureen MedzaMarch 16, 2022March 16, 2022

Uchaguzi wa wabunge wa ngazi ya chini na wa juu ulipaswa kukamilishwa kabla ya muhula wa Rais Mohamed Abdullahi Mohamed kukamilika Februari 2021.

Tembo 13 kusafirishwa kutoka Uingereza hadi Kenya katika safari ya saa 12
Africa East Africa Environment Europe Nature

Tembo 13 kusafirishwa kutoka Uingereza hadi Kenya katika safari ya saa 12

Maureen MedzaMarch 16, 2022March 16, 2022

Kuhamishwa kwa ndovu hao hadi kwa hifadhi ya Kenya itagharimu pauni 950,000 (dola milioni 1.2), kulingana na Wakfu wa Aspinall, kikundi cha uhifadhi wa wanyama pori.

India imemkamata ‘daktari’ mlaghai aliyeoa wanawake 18
Arts & Culture Asia

India imemkamata ‘daktari’ mlaghai aliyeoa wanawake 18

Maureen MedzaMarch 16, 2022March 16, 2022

Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 67 alivinjari tovuti za ndoa akijifanya kuwa daktari na kuwashawishi wanawake maprofesa, wanasheria, matabibu na afisa wa kijeshi kufunga ndoa naye

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani
Europe Features International Politics

Mwandamanaji aliyeoneka kwenye runinga ya Urusi huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 15 gerezani

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Mwezi huu Urusi ilipitisha vifungo vya sheria vya kifungo cha hadi miaka 15 jela kwa kueneza habari za uwongo zenye lengo la kudhalilisha jeshi lake, pamoja na kifungo cha hadi miaka 3 jela kwa kuitisha vikwazo dhidi ya Urusi.

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine
Europe Features International

Urusi yaandikisha maelfu kutoka Syria kujiunga na vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Kremlin ilisema wiki iliyopita kwamba watu wa kujitolea, wakiwemo kutoka Syria, wanakaribishwa kupigana pamoja na jeshi la Urusi nchini Ukraine.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo