• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea
Europe International Politics

Milipuko yatikisa Kyiv huku mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi yakiendelea

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Msururu wa milipuko mikali ilitikisa maeneo ya makazi ya watu wa Kyiv mapema Jumanne na kuua watu wawili, saa chache kabla ya mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi kutarajiwa kuanza tena.

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Licha ya kukabiliwa na jeshi la nchi hiyo — na usaidizi kutoka kwa vikosi vya Uganda, vilivyoanza kukabiliana na waasi mwishoni mwa Novemba – mashambulizi ya ADF yameendelea.

Polisi wa Uganda wathibitisha kukamatwa kwa mwandishi na wanahabari wanane
Africa East Africa Features People Politics

Polisi wa Uganda wathibitisha kukamatwa kwa mwandishi na wanahabari wanane

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Tumuhimbise, ambaye anaongoza vuguvugu la The Alternative Movement na jukwaa la mtandaoni la Alternative Digitalk, alitarajiwa kuzindua kitabu cha kumkosoa Rais Yoweri Museveni mnamo Machi 30.

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza
East Africa Features People Politics

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022
Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya waasi mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya waasi mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Mashambulizi hayo yalifanyika karibu na mpaka wa majimbo ya Ituri na Kivu Kaskazini

Morocco: Makumi wafa maji baada ya mashua yao kupinduka wakihamia Uhispania
Africa Europe Features International

Morocco: Makumi wafa maji baada ya mashua yao kupinduka wakihamia Uhispania

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Takriban wahamiaji 44, wakiwemo wanawake na watoto wachanga, walikufa maji wiki hii kwenye pwani ya Morocco walipokuwa wakijaribu kufika Uhispania

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo
Features International Lifestyle & Health People

Barack Obama akutwa na UVIKO 19, ahimiza watu wapate chanjo

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Licha ya kuwepo kwa vuguvugu la kupinga chanjo nchini humo, Vituo vya Amerika vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) vinasema zaidi ya asilimia 80 ya watu wamechanjwa

DR Congo: Ajali ya treni yasabisha vifo vya watu 75
Africa Features

DR Congo: Ajali ya treni yasabisha vifo vya watu 75

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Watu husafiri kwa treni za mizigo kinyume cha sheria mara kwa mara kwa sababu ya ukosefu wa treni za abiria na ugumu wa kusafiri kwa barabara.

Kimbunga chawaua watu wanane nchini Msumbiji
Africa Features Nature

Kimbunga chawaua watu wanane nchini Msumbiji

Maureen MedzaMarch 12, 2022March 12, 2022

Kimbunga Gombe kilipiga mkoa wa Nampula usiku wa Alhamisi-Ijumaa kikiambatana na upepo mkali — kilitabiriwa kufikia kilomita 160 kwa saa (100 mph)

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo