• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mapigano mapya katika jimbo la Darfur nchini Sudan yasababisha vifo vya takriban watu 19
Africa Features Politics

Mapigano mapya katika jimbo la Darfur nchini Sudan yasababisha vifo vya takriban watu 19

Maureen MedzaMarch 12, 2022March 12, 2022

Mapigano mapya yaliyozuka Alhamisi yameshuhudia makundi yenye silaha yakipigana katika milima ya Jebel Moon katika jimbo la Darfur Magharibi

Kenya yaondoa masharti ya kukabilina na UVIKO 19, ikiwemo kuvaa barakoa
East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya yaondoa masharti ya kukabilina na UVIKO 19, ikiwemo kuvaa barakoa

Maureen MedzaMarch 12, 2022March 12, 2022

Tangazo hilo linakuja wakati viwango vya maambukizi ya UVIKO-19 vikiwa vimepungua hadi asilimia moja au chini zaidi katika mwezi mmoja uliopita, Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alisema.

Rais wa zamani wa Zambia,Rupiah Banda aaga dunia
Africa Features People Politics

Rais wa zamani wa Zambia,Rupiah Banda aaga dunia

Maureen MedzaMarch 12, 2022March 12, 2022

Kiongozi wa nne wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, alihudumu kwa miaka mitatu kuanzia 2008 – muda unaokumbukwa kwa ukuaji wa uchumi

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Europe Features International People Politics

Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.

Afisa wa Senegal asimamishwa kazi kwa matamshi yake juu ya wanawake na Uislamu
Africa Arts & Culture Gender Politics

Afisa wa Senegal asimamishwa kazi kwa matamshi yake juu ya wanawake na Uislamu

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Rais alimuondoa Papa Amadou Sarr kutoka wadhifa wake wa uwaziri kama mjumbe mkuu katika shirika linaloitwa Fast-track Entrepreneurship for Women and Young People

Makumi ya watu wauawa katika ghasia katika eneo linalozozaniwa la Sudan Kusini
Africa East Africa Features Politics

Makumi ya watu wauawa katika ghasia katika eneo linalozozaniwa la Sudan Kusini

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

OCHA imesema mapigano katika eneo lenye utajiri mkubwa wa mafuta la Abyei kwenye mpaka na Sudan yamesababisha vifo vya watu 36 kufikia Machi 6, huku idadi isiyojulikana wakijeruhiwa na wengine 50,000 wakiripotiwa kuhama makazi yao.

Tembo amuua Mmasai katika hifadhi ya wanyama ya Ngorongoro Tanzania
Nature Tanzania

Tembo amuua Mmasai katika hifadhi ya wanyama ya Ngorongoro Tanzania

Maureen MedzaMarch 11, 2022July 2, 2024

Mwanaume huyo wa Kimasai, 45, alifariki dunia papo hapo katika shambulio la tembo Jumatano wakati kundi la wakazi hao lilipokwenda kukusanya kuni

Urusi inaishutumu Amerika kwa kufadhili utafiti wa silaha za kibiolojia nchini Ukraine
Europe Features International People Politics

Urusi inaishutumu Amerika kwa kufadhili utafiti wa silaha za kibiolojia nchini Ukraine

Maureen MedzaMarch 10, 2022March 10, 2022

Washington na Kyiv kwa pamoja zimekanusha kuwepo kwa maabara zinazokusudiwa kuzalisha silaha za kibiolojia nchini humo.

Indonesia: Mamia ya watu wakimbia makazi yao baada ya volkano kulipuka
Asia International Middle East Nature

Indonesia: Mamia ya watu wakimbia makazi yao baada ya volkano kulipuka

Maureen MedzaMarch 10, 2022March 10, 2022

Mlipuko wa mlima Merapi mkubwa wa mwisho ulifanyika 2010 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 300 huku takriban wakaazi 280,000 wakiyahama makaazi yao

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo