• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa
Europe Features International Politics

Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…

Roman Abramovich kuuza Chelsea na fedha kuwanufaisha waathiriwa wa vita Ukraine
Business / Finance Europe Features Football International People Politics

Roman Abramovich kuuza Chelsea na fedha kuwanufaisha waathiriwa wa vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa
Africa Features People Politics

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine
Europe Features International Politics

Ujerumani kupeleka makombora zaidi ya kutungulia ndege, Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.

Afisa mkuu na meya kati ya 7 waliouawa katika shambulio nchini Cameroon
Africa Politics

Afisa mkuu na meya kati ya 7 waliouawa katika shambulio nchini Cameroon

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Cameroon imekumbwa na ghasia tangu Oktoba 2017 baada ya  wanamgambo kutangaza kuwa eneo la Kaskazini-Magharibi na eneo jirani la Kusini-Magharibi ni maeneo huru.

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo
Europe Features International Politics

EU yaweka mpango kwa wakimbizi wa Ukraine kukaa miaka 2 katika Umoja huo

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu
Africa Lifestyle & Health People

Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari atasafiri hadi London kwa uchunguzi wa kimatibabu

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.

Misri yatangaza kuongezeka kwa ushuru kwa utumizi wa Mfereji wa Suez
Africa Features International Middle East

Misri yatangaza kuongezeka kwa ushuru kwa utumizi wa Mfereji wa Suez

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Ushuru kwa meli za mafuta ya petroli zitapandishwa kwa asilimia 10 kwa ada ya kutumia mfereji huo huku wachukuzi wa gesi asilia na meli za mizigo za jumla zitapata ongezeko la asilimia saba

Uvamizi wa Ukraine: athari zake za kisheria ni zipi?
Europe Features International Politics

Uvamizi wa Ukraine: athari zake za kisheria ni zipi?

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

ICJ ilisema Jumanne itafanya vikao kuhusu mauaji ya halaiki nchini Ukraine kati ya Machi 7 na 8

Afrika Kusini haijarekodi vifo vyovyote vinavyotokana na UVIKO 19, kwa mara ya kwanza tangu Mei 2020
Africa Features International Lifestyle & Health

Afrika Kusini haijarekodi vifo vyovyote vinavyotokana na UVIKO 19, kwa mara ya kwanza tangu Mei 2020

Maureen MedzaMarch 2, 2022March 2, 2022

Afrika Kusini iliripoti karibu vifo 100,000 vilivyotokana na UVIKO 19, na zaidi ya kesi milioni 3.6 za maambukizi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo