Vita Ukraine: Jinsi wiki ya kwanza ilivyokuwa
Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…
Baada ya Urusi kuizingira Ukraine kwa makumi ya maelfu ya wanajeshi, Urusi ilivamia jirani yake mapema Februari 24, na kuanzisha…
Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.
Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.
Kabla ya kuongezeka kwa mzozo huo, Ujerumani ilikuwa imeahidi tu kuchangia kwa kutoa helmeti na kusaidia kujenga hospitali huko Ukraine.
Cameroon imekumbwa na ghasia tangu Oktoba 2017 baada ya wanamgambo kutangaza kuwa eneo la Kaskazini-Magharibi na eneo jirani la Kusini-Magharibi ni maeneo huru.
Pendekezo la mtendaji mkuu wa EU litawapa wakimbizi kutoka Ukraine na familia zao kibali cha kuishi na haki ya kupata kazi na elimu kwa miaka miwili.
Buhari, 79, amekumbana na maswali mengi juu ya afya yake baada ya kukaa zaidi ya siku 100 huko London mnamo 2017 akipokea matibabu ya ugonjwa ambao haukujulikana.
Ushuru kwa meli za mafuta ya petroli zitapandishwa kwa asilimia 10 kwa ada ya kutumia mfereji huo huku wachukuzi wa gesi asilia na meli za mizigo za jumla zitapata ongezeko la asilimia saba
ICJ ilisema Jumanne itafanya vikao kuhusu mauaji ya halaiki nchini Ukraine kati ya Machi 7 na 8
Afrika Kusini iliripoti karibu vifo 100,000 vilivyotokana na UVIKO 19, na zaidi ya kesi milioni 3.6 za maambukizi.