• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Ndege iliyokuwa na watu 14 yaanguka Comoros
Africa East Africa

Ndege iliyokuwa na watu 14 yaanguka Comoros

Maureen MedzaFebruary 28, 2022February 28, 2022

Serikali ya Comoro ilisema abiria hao 12 walikuwa raia wa Comoro na kwamba marubani wawili walikuwa Watanzania.

Kenya: Gavana Joho ajiondoa kuwania Urais
East Africa Features

Kenya: Gavana Joho ajiondoa kuwania Urais

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

“Natangaza rasmi mbele ya NGC kwamba najiondoa kutoka kinyang’anyiro cha urais kwa tiketi ya ODM”

Rapa wawili maarufu wa Nigeria wakamatwa na dawa za kulevya
Africa People

Rapa wawili maarufu wa Nigeria wakamatwa na dawa za kulevya

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Rapa hao wawili walisainiwa mwaka jana kwenye lebo ya muziki ya rappa maarufu wa Nigeria na nyota wa Afropop Naira Marley.

Tani ya cocaine iliyonaswa nchini Guinea-Bissau ‘yatoweka’ wasema polisi
Africa International Lifestyle & Health

Tani ya cocaine iliyonaswa nchini Guinea-Bissau ‘yatoweka’ wasema polisi

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Hali tete na umaskini vimeifanya nchi hiyo kuwa kitovu cha ulanguzi wa cocaine kati ya Amerika Kusini na Uropa

Misri yaapa kuwatunza Warusi na wa Ukraine waliokwama nchini humo
Africa Europe Features Middle East Politics

Misri yaapa kuwatunza Warusi na wa Ukraine waliokwama nchini humo

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Uamuzi huo ulifuatia msururu wa kufutuliwa mbali kwa safari za ndege baada ya Urusi kupeleka wanajeshi wake nchini Ukraine.

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine
Africa Europe Features International People Politics

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Urusi dhidi ya Ukraine

Maureen MedzaFebruary 25, 2022February 25, 2022

Mwenyekiti wa sasa wa muungano huo, Rais wa Senegal Macky Sall amesema ‘ana wasiwasi mkubwa’ na uvamizi huo.

Waziri Mkuu wa zamani wa Guinea-Bissau apigwa marufuku kuondoka nchini humo
Africa People Politics

Waziri Mkuu wa zamani wa Guinea-Bissau apigwa marufuku kuondoka nchini humo

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Pereira, alishindwa katika uchaguzi wa urais wa 2019 na Embalo, ndiye kiongozi wa Chama cha African Party for the Independence of Guinea and Cape Verde (PAIGC).

Daraja lililojengwa kwa gharama ya Ksh 100M laporomoka
East Africa

Daraja lililojengwa kwa gharama ya Ksh 100M laporomoka

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Daraja la Paai liligharimu takriban Ksh 100M na lilizinduliwa mwezi Febuari mwaka huu na gavana wa Kajiado Ole Lenku

Vikosi vya ardhini vya Urusi vyavuka mpaka na kuingia Ukraine: Kyiv
Europe Features International Politics

Vikosi vya ardhini vya Urusi vyavuka mpaka na kuingia Ukraine: Kyiv

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Ukraine imepata hasara kubwa katika mzozo wake wa miaka minane na waasi wanaoungwa mkono na Urusi katika eneo la mashariki linalotaka kujitenga

Nigeria yaharibu hekta 255 za mimea ya bangi
Africa

Nigeria yaharibu hekta 255 za mimea ya bangi

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

Upandaji na utumizi wa bangi umeongezeka katika nchi hiyo katika miaka ya hivi karibuni, licha ya kuwa ni kinyume cha sheria.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo