• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya: Waziri wa Elimu Prof.Magoha azungumzia mkanganyiko ulioko kuhusu mfumo mpya wa CBC
East Africa

Kenya: Waziri wa Elimu Prof.Magoha azungumzia mkanganyiko ulioko kuhusu mfumo mpya wa CBC

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Profesa Magoha alisisitiza kuwa wanafunzi wa kwanza wa mfumo wa CBC hawatarejea katika mfumo wa zamani wa 8-4-4.

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake
East Africa Features People Politics

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Kauli ya tume ya uchaguzi inajiri baada ya Chege kudai kuwa chama cha Jubilee kilishinda uchaguzi mkuu wa 2017 baada ya kuiba kura

Mchezaji kandanda atozwa faini na kupoteza udhamini kwa kumpiga teke paka wake
Europe Football International People Sports

Mchezaji kandanda atozwa faini na kupoteza udhamini kwa kumpiga teke paka wake

Maureen MedzaFebruary 11, 2022February 11, 2022

Zaidi ya watu 300,000 wametia saini ombi la mtandaoni la kumtaka Zouma ashtakiwe.

Watu sita wauawa katika shambulizi la kijihadi Mogadishu
Africa War & Conflicts

Watu sita wauawa katika shambulizi la kijihadi Mogadishu

Maureen MedzaFebruary 11, 2022July 2, 2024

Takriban watu sita waliuawa katika mji mkuu wa Somalia Alhamisi katika shambulio la bomu la kujitoa mhanga lililodaiwa kutekelezwa na…

Uganda inasema uamuzi ya mahakama ya Umoja wa Mataifa kuhusu uharibifu wa vita DR Congo ‘si ya haki’
Africa East Africa People

Uganda inasema uamuzi ya mahakama ya Umoja wa Mataifa kuhusu uharibifu wa vita DR Congo ‘si ya haki’

Maureen MedzaFebruary 11, 2022February 11, 2022

Uamuzi wa Jumatano wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki ulikuwa hitimisho la mvutano wa muda kati ya nchi hizo

Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso atangazwa kuwa rais
Africa People Politics

Kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso atangazwa kuwa rais

Maureen MedzaFebruary 11, 2022February 11, 2022

Damiba ataapishwa Februari 16 katika mji mkuu wa Ouagadougou.

Benki kuu ya Kenya (CBK) kuanzisha sarafu ya kidijitali
Africa Business / Finance East Africa Features

Benki kuu ya Kenya (CBK) kuanzisha sarafu ya kidijitali

Maureen MedzaFebruary 11, 2022February 11, 2022

Wakenya wamepewa siku 120 kuwasilisha maoni yao kuhusu kuanzishwa kwa sarafu ya kidijitali CBDC

Mahakama ya Umoja wa Mataifa yaamuru Uganda kuilipa DR Congo fidia ya $325M kwa uharibifu wa kivita
Africa East Africa Features Politics

Mahakama ya Umoja wa Mataifa yaamuru Uganda kuilipa DR Congo fidia ya $325M kwa uharibifu wa kivita

Maureen MedzaFebruary 10, 2022February 11, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ilitaka kulipwa fidia ya dola bilioni 11 kutokana na mzozo huo uliodumu kutoka 1998 hadi 2003.

Mwanamke wa El Salvador aachiliwa baada ya miaka 10 jela kwa kosa la kuavya mimba
Gender International Lifestyle & Health

Mwanamke wa El Salvador aachiliwa baada ya miaka 10 jela kwa kosa la kuavya mimba

Maureen MedzaFebruary 10, 2022February 10, 2022

Utoaji mimba chini ya hali yoyote umepigwa marufuku El Salvador tangu 1998 hata katika hali ambapo afya ya mama ipo hatarini

Watu 32 wamefariki katika mlipuko wa kipindupindu nchini Cameroon
Africa Lifestyle & Health

Watu 32 wamefariki katika mlipuko wa kipindupindu nchini Cameroon

Maureen MedzaFebruary 10, 2022February 10, 2022

Janga la mwisho la kipindupindu lilikuwa kati ya Januari na Agosti 2020, wakati watu 66 walipofariki

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo