• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mwandishi wa Uganda aliyeteswa akimbia uhamishoni
Africa East Africa Features People Politics

Mwandishi wa Uganda aliyeteswa akimbia uhamishoni

Maureen MedzaFebruary 10, 2022February 10, 2022

Wakili alisema mteja wake alikuwa akitafuta matibabu nje ya nchi kutokana na majeraha aliyoyapata.

Kenya imefaulu kuwachanja wakenya milioni 14 dhidi ya UVIKO-19
Africa East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya imefaulu kuwachanja wakenya milioni 14 dhidi ya UVIKO-19

Maureen MedzaFebruary 9, 2022February 9, 2022

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema kuwa watu milioni 6.5 wamechanjwa kikamilifu.

Pakistan: Mama mjamzito apigiliwa msumari kichwani ili ajifungue mtoto wa kiume
Asia Gender Lifestyle & Health

Pakistan: Mama mjamzito apigiliwa msumari kichwani ili ajifungue mtoto wa kiume

Maureen MedzaFebruary 9, 2022February 9, 2022

Huko Asia Kusini, mara nyingi mvulana anaaminika kuwapa wazazi wake usaidizi wa kifedha zaidi kuliko binti.

Burkina Faso: Waendesha mashtaka wataka kiongozi wa zamani Blaise Compaore afungwe miaka 30 jela kuhusiana na mauaji ya Sankara
Africa Features People

Burkina Faso: Waendesha mashtaka wataka kiongozi wa zamani Blaise Compaore afungwe miaka 30 jela kuhusiana na mauaji ya Sankara

Maureen MedzaFebruary 9, 2022February 9, 2022

Compaore anashtakiwa bila kuwepo mahakamani kwa tuhuma za kushambulia usalama wa serikali, kuficha maiti na kushiriki katika mauaji.

Rais Macky Sall aitunuku timu ya Senegal $87,000 pesa taslimu na ardhi baada ya kushinda AFCON
Africa Features Football People

Rais Macky Sall aitunuku timu ya Senegal $87,000 pesa taslimu na ardhi baada ya kushinda AFCON

Maureen MedzaFebruary 9, 2022February 9, 2022

Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.

UN:Watu milioni 13 wanakabiliwa na njaa huku ukame ukikithiri katika Pembe ya Afrika.
Africa East Africa Environment Lifestyle & Health

UN:Watu milioni 13 wanakabiliwa na njaa huku ukame ukikithiri katika Pembe ya Afrika.

Maureen MedzaFebruary 8, 2022February 11, 2022

Mvua haijanyesha katika misimu ya mvua mitatu mfululizo huku eneo hilo likishuhudia hali ya ukame mbaya zaidi tangu 1981, shirika la Umoja wa Mataifa lilisema.

Kenya: Vijana wadai kupewa ksh.30 kabla wajisajili kama wapiga kura
Kenya Politics

Kenya: Vijana wadai kupewa ksh.30 kabla wajisajili kama wapiga kura

Maureen MedzaFebruary 8, 2022July 2, 2024

Zoezi hilo la siku 20 lilitarajiwa kupata wapiga kura wapya milioni 4.5.

Vikosi vya usalama vya Sudan viliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji wanaopinga mapinduzi
Africa Politics

Vikosi vya usalama vya Sudan viliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji wanaopinga mapinduzi

Maureen MedzaFebruary 8, 2022February 8, 2022

Sudan, ambayo tayari ilikuwa katika hali mbaya ya mzozo wa kiuchumi kabla ya mapinduzi, imeshuhudia misaada muhimu ya kigeni ikikatwa kama sehemu ya kulaani unyakuzi huo.

Uganda yaweka tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya  mwandishi Kakwenza Rukirabashaija
Africa East Africa Features People Politics

Uganda yaweka tarehe ya kusikilizwa kwa kesi ya mwandishi Kakwenza Rukirabashaija

Maureen MedzaFebruary 8, 2022February 11, 2022

Rukirabashaija alisema vifaa vya chuma vilitumika kumsababishia majeruhi. Alidai kudungwa sindano ya kitu kisichojulikana mara kadhaa kinyume na matakwa yake.

Kuwait yapiga marufuku filamu ya ‘Death on the Nile’ inayomshirikisha mwigizaji wa Israel Gal Gadot
Arts & Culture Entertainment International Middle East People

Kuwait yapiga marufuku filamu ya ‘Death on the Nile’ inayomshirikisha mwigizaji wa Israel Gal Gadot

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Watumiaji wa mitandao ya kijamii walihoji jinsi Gadot alivyolisifu jeshi la Israel na kukosoa vuguvugu la Kiislamu la Palestina Hamas wakati wa vita vya 2014 huko Gaza.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo