• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Zaidi ya hekta 550 za msitu wa Aberdare zaharibiwa na moto, KFS imethibitisha
Africa East Africa

Zaidi ya hekta 550 za msitu wa Aberdare zaharibiwa na moto, KFS imethibitisha

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Moto huo ulizuka Jumamosi usiku, kulingana na afisa anayefanya kazi katika Shirika la Huduma kwa Wanyamapori nchini (KWS)

Rais wa Senegal atangaza sikukuu ya kitaifa kusherehekea ushindi wa Kombe la AFCON
Africa Football International People

Rais wa Senegal atangaza sikukuu ya kitaifa kusherehekea ushindi wa Kombe la AFCON

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti

Madagascar: Kimbunga Batsirai chawaua watu 10 na kuwafanya karibu 48,000 kuyahama makazi yao
Africa Features Nature

Madagascar: Kimbunga Batsirai chawaua watu 10 na kuwafanya karibu 48,000 kuyahama makazi yao

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Shirika la WHO likinukuu makadirio kutoka kwa mamlaka ya kitaifa, lilisema takriban watu 595,000 wanaweza kuathiriwa moja kwa moja na Batsirai, na wengine 150,000 wanaweza kuyahama makazi yao kwa sababu ya maporomoko ya ardhi na mafuriko.

Morocco kumzika mtoto Rayan aliyefariki baada ya kutumbukia kisimani
Africa Middle East

Morocco kumzika mtoto Rayan aliyefariki baada ya kutumbukia kisimani

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Mazishi yake yatafanyika katika kijiji alikozaliwa cha Ighrane, katika milima ya Rif kaskazini mwa Morocco

Senegal yashinda kombe la AFCON 2021
Africa Features Football People Sports

Senegal yashinda kombe la AFCON 2021

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Sadio Mane wa Senegal alitangazwa kuwa mchezaji bora wa michuano hiyo

Habari njema, maambukizi mapya ya UVIKO 19 yaanza kupungua duniani kote
Europe Features Lifestyle & Health

Habari njema, maambukizi mapya ya UVIKO 19 yaanza kupungua duniani kote

Maureen MedzaFebruary 5, 2022February 5, 2022

Janga la UVIKO-19 limeanza kupungua kote duniani wiki hii baada ya miezi mitatu na nusu ya ongezeko la maambukizo.

Waasi 33 wauawa mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Waasi 33 wauawa mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaFebruary 5, 2022

Makundi ya waasi ya FNL na RED-Tabara yana kambi mashariki mwa DR Congo, eneo ambalo limevurugika kutokana na kuwepo kwa makundi mengi yenye silaha ndani na nje ya nchi.

Walinda amani kutoka mataifa ya Afrika Magharibi watumwa Guinea-Bissau baada ya jaribio la mapinduzi
Africa Features People Politics

Walinda amani kutoka mataifa ya Afrika Magharibi watumwa Guinea-Bissau baada ya jaribio la mapinduzi

Maureen MedzaFebruary 5, 2022February 5, 2022

Guinea-Bissau ni taifa ambalo limetikiswa na machafuko ya mara kwa mara, ikiwa imekumbwa na mapinduzi manne ya kijeshi tangu uhuru kutoka kwa Ureno mwaka 1974

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona nchini India imepita 500,000
Asia Lifestyle & Health

Idadi ya waliofariki kutokana na virusi vya corona nchini India imepita 500,000

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Taarifa ya kila siku kutoka kwa wizara ya afya imeonyesha idadi ya walioaga ikifikia 500,055 na ongezeko la vifo 1,072 katika saa 24 zilizopita.

Aina mpya ya VVU ‘iliyo hatari sana’ yagunduliwa nchini Uholanzi
Europe Features Lifestyle & Health

Aina mpya ya VVU ‘iliyo hatari sana’ yagunduliwa nchini Uholanzi

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Walioambukizwa na kirusi cha VB walikuwa na viwango vya juu vya virusi katika damu mara 3.5 hadi 5.5 kuliko wale walioambukizwa na kirusi kingine

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo