Zaidi ya hekta 550 za msitu wa Aberdare zaharibiwa na moto, KFS imethibitisha
Moto huo ulizuka Jumamosi usiku, kulingana na afisa anayefanya kazi katika Shirika la Huduma kwa Wanyamapori nchini (KWS)
Moto huo ulizuka Jumamosi usiku, kulingana na afisa anayefanya kazi katika Shirika la Huduma kwa Wanyamapori nchini (KWS)
Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti
Shirika la WHO likinukuu makadirio kutoka kwa mamlaka ya kitaifa, lilisema takriban watu 595,000 wanaweza kuathiriwa moja kwa moja na Batsirai, na wengine 150,000 wanaweza kuyahama makazi yao kwa sababu ya maporomoko ya ardhi na mafuriko.
Mazishi yake yatafanyika katika kijiji alikozaliwa cha Ighrane, katika milima ya Rif kaskazini mwa Morocco
Janga la UVIKO-19 limeanza kupungua kote duniani wiki hii baada ya miezi mitatu na nusu ya ongezeko la maambukizo.
Makundi ya waasi ya FNL na RED-Tabara yana kambi mashariki mwa DR Congo, eneo ambalo limevurugika kutokana na kuwepo kwa makundi mengi yenye silaha ndani na nje ya nchi.
Guinea-Bissau ni taifa ambalo limetikiswa na machafuko ya mara kwa mara, ikiwa imekumbwa na mapinduzi manne ya kijeshi tangu uhuru kutoka kwa Ureno mwaka 1974
Taarifa ya kila siku kutoka kwa wizara ya afya imeonyesha idadi ya walioaga ikifikia 500,055 na ongezeko la vifo 1,072 katika saa 24 zilizopita.
Walioambukizwa na kirusi cha VB walikuwa na viwango vya juu vya virusi katika damu mara 3.5 hadi 5.5 kuliko wale walioambukizwa na kirusi kingine