• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Rais wa Malawi avunja baraza lake la mawaziri
Africa People Politics

Rais wa Malawi avunja baraza lake la mawaziri

Maureen MedzaJanuary 25, 2022January 25, 2022

Baraza la mawaziri lilivunjwa baada ya mazungumzo ya simu ya mkuu wa kupambana na ufisadi kuvuja na kusambaa mitandaoni

Mali inaitaka Denmark kuwaondoa wanajeshi wake kutoka nchini humo mara moja
Africa Politics

Mali inaitaka Denmark kuwaondoa wanajeshi wake kutoka nchini humo mara moja

Maureen MedzaJanuary 25, 2022January 25, 2022

Serikali ya jeshi ilisema katika taarifa kwamba “wanajeshi hao walitumwa nchini humo bila idhini.”

AFCON: Msongamano uwanjani wasababisha vifo vya watu wanane
Africa Football Sports

AFCON: Msongamano uwanjani wasababisha vifo vya watu wanane

Maureen MedzaJanuary 25, 2022January 25, 2022

Wanawake wawili wa miaka thelathini, wanaume wanne wenye umri wa miaka thelathini, mtoto mmoja, waliuawawa katika msongamano huo

Wanajeshi wa Burkina Faso wamuondoa madarakani Rais Kabore
Africa Features People Politics

Wanajeshi wa Burkina Faso wamuondoa madarakani Rais Kabore

Maureen MedzaJanuary 25, 2022January 25, 2022

Wanajeshi wametwaa mamlaka nchini humo kufuatia maasi yaliyotokana na kushindwa kwa rais kuwadhibiti waasi wa Kiislamu.

Abiria apatikana hai baada ya kusafiri saa 11 katika gurudumu la ndege
Africa Europe International

Abiria apatikana hai baada ya kusafiri saa 11 katika gurudumu la ndege

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Mwanamume huyo anayeaminika kuwa kati ya umri wa miaka 16 hadi 35 alipatikana kwenye sehemu ya gurudumu la ndege hiyo.

Serikali ya Cameroon imesema watu 16 wameuawa kwenye moto katika klabu ya usiku
Africa

Serikali ya Cameroon imesema watu 16 wameuawa kwenye moto katika klabu ya usiku

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Mkasa huo umetokea wakati taifa hilo likiwa mwenyeji wa mashindano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON

Rais wa Burkina Faso Kabore azuiliwa katika kambi ya kijeshi
Africa Features People Politics

Rais wa Burkina Faso Kabore azuiliwa katika kambi ya kijeshi

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Serikali ilikuwa imekanusha uvumi siku ya Jumapili kwamba mapinduzi yalikuwa yakiendelea huku milio ya risasi ikisikika katika kambi tofauti za kijeshi.

Rais wa Armenia ajiuzulu akisema Katiba haimpi ushawishi wa kutosha
Europe International People Politics

Rais wa Armenia ajiuzulu akisema Katiba haimpi ushawishi wa kutosha

Maureen MedzaJanuary 24, 2022January 24, 2022

Armen Sarkissian, amekuwa rais tangu 2018, alikuwa katika mzozo na Waziri Mkuu Nikol Pashinyan kuhusu kufutwa kazi kwa mkuu wa majeshi.

Mahakama ya Pakistan yamhukumu kifo mwanamke kwa kukufuru
Asia Gender Middle East

Mahakama ya Pakistan yamhukumu kifo mwanamke kwa kukufuru

Maureen MedzaJanuary 22, 2022January 22, 2022

Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp

Watu watano watekwa nyara kutoka shuleni Cameroon
Africa

Watu watano watekwa nyara kutoka shuleni Cameroon

Maureen MedzaJanuary 22, 2022January 22, 2022

Watu wanaotaka kujitenga mara kwa mara hushambulia shule ambazo wanazituhumu kufundisha kwa Kifaransa, na kuua watumishi wa umma.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo