• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Watu wanne na mtoto waganda kwa baridi hadi kufa katika mpaka wa US-Canada
Nature

Watu wanne na mtoto waganda kwa baridi hadi kufa katika mpaka wa US-Canada

Maureen MedzaJanuary 21, 2022January 21, 2022

Nyuzi joto siku ambapo miili hiyo ilipopatikana, ilikuwa nyuzi 35 chini ya Selsiasi.

Ndege ya shirika la ndege la Amerika yakatiza safari yake baada ya abiria kukataa kuvaa barakoa.
Europe International Lifestyle & Health

Ndege ya shirika la ndege la Amerika yakatiza safari yake baada ya abiria kukataa kuvaa barakoa.

Maureen MedzaJanuary 21, 2022January 21, 2022

sShirika hilo linasubiri uchunguzi zaidi kumhusu abiria huyo ambaye amewekwa kwenye orodha ya watu wasioruhusiwa kusafiri na shirika hilo.

Watu 17 wameuawa na wengine 59 wajeruhiwa katika mlipuko uliotokea magharibi mwa Ghana
Africa

Watu 17 wameuawa na wengine 59 wajeruhiwa katika mlipuko uliotokea magharibi mwa Ghana

Maureen MedzaJanuary 21, 2022January 21, 2022

Ajali ilihusisha lori lililokuwa likisafirisha vilipuzi vya kampuni ya uchimbaji madini, pikipiki na gari.

Algeria yabanduliwa nje ya michuano AFCON huku Mali na Gambia wakishinda
Africa Football Sports

Algeria yabanduliwa nje ya michuano AFCON huku Mali na Gambia wakishinda

Maureen MedzaJanuary 21, 2022January 21, 2022

Algeria walikuja kwenye michuano hiyo na rekodi ya kutoshindwa kwa muda wa miaka mitatu iliyopita.

Kenya: Tukio la ajabu tembo ajifungua pacha wawili
Africa East Africa Environment Nature

Kenya: Tukio la ajabu tembo ajifungua pacha wawili

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

mapacha hao — mmoja wa kiume na mmoja wa kike — walizaliwa na tembo anayeitwa Bora.

WHO: Idadi ya visa vya UVIKO 19 yapungua barani Afrika
Africa Lifestyle & Health

WHO: Idadi ya visa vya UVIKO 19 yapungua barani Afrika

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Visa vya UVIKO-19 na idadi ya vifo imepungua kwa mara ya kwanza tangu wimbi la nne kuripotiwa

Mahakama ya Namibia yakataa kutambua ndoa kati ya watu wa jinsia moja
Africa Gender

Mahakama ya Namibia yakataa kutambua ndoa kati ya watu wa jinsia moja

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Wanandoa wawili waliooana nje ya Namibia walikuwa wameomba Mahakama Kuu kutambua ndoa zao.

Kampuni ya Amazon huenda ikasitisha ujenzi wa makao makuu yake mjini Cape Town
Africa Nature People

Kampuni ya Amazon huenda ikasitisha ujenzi wa makao makuu yake mjini Cape Town

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Ujenzi wa makao makuu unafanyika kwenye ardhi ambayo jamii za Khoisan huchukulia kuwa takatifu.

AFCON 2021: Mabingwa mara saba Misri wapata nafasi ya kujiunga na timu 16 bora
Africa Football Sports

AFCON 2021: Mabingwa mara saba Misri wapata nafasi ya kujiunga na timu 16 bora

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Misri, Ivory Coast,Mali,Gambia,Malawi na Cape Verde zimefuzu kuwa kati ya timu 16 bora.

Wanadiplomasia wakuu wa Amerika wamekwenda Sudan kwa mazungumzo kuhusu mzozo wa mapinduzi
Africa Features People Politics

Wanadiplomasia wakuu wa Amerika wamekwenda Sudan kwa mazungumzo kuhusu mzozo wa mapinduzi

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Sudan imetikiswa na maandamano ya mara kwa mara na ukandamizaji wa haki za watu tangu unyakuzi wa kijeshi wa Oktoba 25

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo