• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Wanahabari wawili wa televisheni waachiliwa huru Sudan baada ya maandamano makubwa
Africa Features People Politics

Wanahabari wawili wa televisheni waachiliwa huru Sudan baada ya maandamano makubwa

Maureen MedzaDecember 31, 2021December 31, 2021

Vikosi vya usalama vya Sudan vimewaachia wanahabari wawili wa kituo cha televisheni.

Dunia imerekodi idadi kubwa zaidi ya visa vya UVIKO 19 kwenye wiki moja
International Lifestyle & Health

Dunia imerekodi idadi kubwa zaidi ya visa vya UVIKO 19 kwenye wiki moja

Maureen MedzaDecember 29, 2021December 29, 2021

Zaidi ya visa milioni 6.5 vimeripotiwa kote duniani kati ya Desemba 22 na 28 2021

Tume ya Ukweli ya Gambia Inapendekeza Rais wa zamani Yahya Jammeh ahukumiwe
Africa People Politics

Tume ya Ukweli ya Gambia Inapendekeza Rais wa zamani Yahya Jammeh ahukumiwe

Maureen MedzaDecember 29, 2021December 29, 2021

Tume hiyo ilipendekeza “kuwa Yahya Jammeh na wahusika wenzake wafunguliwe mashtaka katika mahakama ya kimataifa”

Mwandishi wa riwaya wa Uganda na mkosoaji wa serikali akamatwa
Africa East Africa Features People Politics

Mwandishi wa riwaya wa Uganda na mkosoaji wa serikali akamatwa

Maureen MedzaDecember 29, 2021December 29, 2021

Rukirabashaija ni mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais Yoweri Museveni,Rukirabashaija ni mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rais Yoweri Museveni, alipata sifa kwa riwaya yake ya kejeli ya mwaka 2020, “The Greedy Barbarian” ambayo inaelezea ufisadi wa hali ya juu katika nchi ya kubuni.

Wachimba migodi 31 wauawa baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka
Africa Lifestyle & Health Politics

Wachimba migodi 31 wauawa baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka

Maureen MedzaDecember 28, 2021December 28, 2021

Takriban wachimbaji wadogo milioni mbili huzalisha takriban 80% ya dhahabu kila mwaka ikiwa ni takriban tani 80, kulingana na takwimu rasmi.

Fuvu la kichwa cha binadamu lagunduliwa baada ya shambulizi la fisi Kenya
East Africa Environment Lifestyle & Health Nature

Fuvu la kichwa cha binadamu lagunduliwa baada ya shambulizi la fisi Kenya

Maureen MedzaDecember 28, 2021December 28, 2021

Kundi la fisi limewaua watu wawili kwenye muda wa saa 24 katika kijiji kilichoko kilomita 50 tu mashariki mwa jiji la Nairobi

Rwanda Kuajiri Zaidi ya Walimu 300 kutoka Zimbabwe
Africa Business / Finance East Africa Science & Tech

Rwanda Kuajiri Zaidi ya Walimu 300 kutoka Zimbabwe

Maureen MedzaDecember 28, 2021December 28, 2021

Hatua hiyo inakuja miezi miwili tu baada ya Rais Paul Kagame kutoa ombi hilo wakati wa mkutano wa biashara na uwekezaji wa nchi hizo mbili.

Desmond Tutu, Prince Philip na DMX kati ya watu mashuhuri walioaga dunia mwaka wa 2021
Africa Arts & Culture International People

Desmond Tutu, Prince Philip na DMX kati ya watu mashuhuri walioaga dunia mwaka wa 2021

Maureen MedzaDecember 28, 2021December 28, 2021

Kuanzia kwa Mwanamfalme Philip wa Uingereza hadi mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Desmond Tutu, hawa ni baadhi ya watu mashuhuri walioaga dunia mwaka wa 2021.

Desmond Tutu, Padre na mwanaharakati mkuu
Africa International People Politics

Desmond Tutu, Padre na mwanaharakati mkuu

Maureen MedzaDecember 27, 2021December 27, 2021

Tutu alistaafu mwaka wa 1996 na kuongoza safari ya kupata ukweli kama mkuu wa Tume ya Ukweli na Maridhiano, ambayo iliweka wazi maovu ya utawala wa kibaguzi.

Kenya yashinda tuzo ya World Travel Awards kama sehemu bora ya utalii barani Afrika
Africa Business / Finance East Africa International

Kenya yashinda tuzo ya World Travel Awards kama sehemu bora ya utalii barani Afrika

Maureen MedzaDecember 18, 2021December 18, 2021

Hii ni mara ya saba mfululizo kwa Kenya kutambuliwa kama kituo kikuu cha utalii wa wanyamapori katika tuzo za WTA

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo