• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Nyimbo zilizomshambulia Rais Felix Tshisekedi zapigwa marufuku DR Congo
Africa East Africa Entertainment People Politics

Nyimbo zilizomshambulia Rais Felix Tshisekedi zapigwa marufuku DR Congo

Maureen MedzaNovember 11, 2021November 11, 2021

Maafisa wa udhibiti wa muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) walikuwa wamepiga marufuku nyimbo mbili zinazomshambulia Rais Felix Tshisekedi. Kufikia Jumatano jioni maafisa wa udhibiti wa muziki walikuwa wameondoa marufuku kwa wimbo mmoja  “Nini Tosali Te” (kwa lugha ya lingala, ‘’Ni kipi hatukufanya’)

Je, wakati umefika kwa mwanawake kuolewa na zaidi ya mume mmoja?
Africa Arts & Culture Asia East Africa Gender International People

Je, wakati umefika kwa mwanawake kuolewa na zaidi ya mume mmoja?

Maureen MedzaNovember 10, 2021November 10, 2021

Kwa kawaida katika mataifa mengi duniani, ndoa zilizozoeleka ni ndoa kati ya mume mmoja ma mke mmoja. Katika tamaduni ya…

Maajabu msichana wa miaka 5 ajifungua mtoto wa kiume
Africa Asia Europe Gender Lifestyle & Health People

Maajabu msichana wa miaka 5 ajifungua mtoto wa kiume

Maureen MedzaNovember 9, 2021November 9, 2021

Kisa kama cha Lina kinafahamika kama ‘precocious puberty’ ikimaanisha kuwa mtoto huanza kubalehe mapema kabla umri wa kawaida wa miaka 8 kwa wasichana na miaka 9 kwa wavulana.

Nchi ambako kila mtu ana uzani wa zaidi ya kilo 100
Asia Lifestyle & Health People

Nchi ambako kila mtu ana uzani wa zaidi ya kilo 100

Maureen MedzaNovember 9, 2021November 9, 2021

Si rahisi kwa waNauru kubadili mtindo wao wa maisha kwasababu unene unaonekana kama ishara ya utajiri.

Takriban watu 91 wauawa baada ya lori la mafuta kulipuka
Africa Lifestyle & Health

Takriban watu 91 wauawa baada ya lori la mafuta kulipuka

Maureen MedzaNovember 6, 2021November 6, 2021

Takriban watu 91 wameuawa na wengine 100 wamejerihiwa mjini Freetown Jumamosi baada ya lori la mafuta kulipuka baada ya kugongana…

Ni katiba ipi fupi na ipi kongwe zaidi duniani,fahamu zaidi
Africa Asia East Africa International Politics

Ni katiba ipi fupi na ipi kongwe zaidi duniani,fahamu zaidi

Maureen MedzaNovember 6, 2021November 6, 2021

Taifa la pili kwa udogo duniani, Monaco ina katiba fupi zaidi duniani. Katiba ya Monaco ilipitishwa mwaka wa 1911.

Mitandao ya kijamii hubanwa na kudhibitiwa barani Afrika, vipi na kwanini?
Africa Arts & Culture Entertainment International Middle East Politics Science & Tech

Mitandao ya kijamii hubanwa na kudhibitiwa barani Afrika, vipi na kwanini?

Maureen MedzaNovember 5, 2021November 5, 2021

Mara nyingi kampuni zinazotoa huduma za mtandao haziwezi kukataa maagizo ya serikali zao kubana au kuzima mitandao.

Nini kinachosababisha mapigano Tigray, Ethiopia?
Africa East Africa International People Politics

Nini kinachosababisha mapigano Tigray, Ethiopia?

Maureen MedzaNovember 4, 2021November 4, 2021

Mapigano Ethiopia yamekuwa yakiendelea tangu Novemba 2020 na yamesababisha njaa kali na vifo vya takriban watu 400,000 kufikia sasa.

Ugonjwa hatari wa kuambukiza Ukoma, wazuka upya Malawi.
Africa Lifestyle & Health

Ugonjwa hatari wa kuambukiza Ukoma, wazuka upya Malawi.

Maureen MedzaNovember 3, 2021November 3, 2021

Mwaka wa 2014 visa 554 vya ukoma viliripotiwa na visa 629 kuripotiwa mwaka wa 629

Ethiopia yatangaza hali ya hatari waasi wa TPLF wakielekea Addis Ababa
Africa East Africa People Politics

Ethiopia yatangaza hali ya hatari waasi wa TPLF wakielekea Addis Ababa

Maureen MedzaNovember 3, 2021November 3, 2021

Serikali ya Shirkisho imetangaza hali ya hatari itakayodumu kwa miezi sita huku Amerika ikiwataka waasi kutouteka mji wa Addis Ababa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo