• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mwimbaji R. Kelly ahukumiwa miaka 30 jela kwa uhalifu wa ngono
Entertainment Features Gender International People

Mwimbaji R. Kelly ahukumiwa miaka 30 jela kwa uhalifu wa ngono

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Mwimbaji wa RnB kutoka Marekani R. Kelly amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kutumia hadhi yake kuendesha mpango wa kuwadhalilisha kingono watoto na wanawake.

Senegal: Upinzani wasitisha maandamano yaliyopangwa
Africa Features People Politics

Senegal: Upinzani wasitisha maandamano yaliyopangwa

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Mvutano umekuwa ukiongezeka katika nchi hiyo kabla ya upigaji kura wa wabunge wa Julai 31, unaoonekana kuwa uchaguzi muhimu kwa Rais Macky Sall.

Misri kupokea $500mn kutoka Benki ya Dunia ili kuimarisha usalama wa chakula
Africa Features

Misri kupokea $500mn kutoka Benki ya Dunia ili kuimarisha usalama wa chakula

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Mwagizaji mkuu wa ngano duniani Misri itapokea dola milioni 500 kutoka kwa Benki ya Dunia ili kupunguza athari za vita kati ya wasambazaji wake wakuu Urusi na Ukraine.

Colombia: Takriban wafungwa 52 wafariki katika ghasia na moto gerezani
Features International

Colombia: Takriban wafungwa 52 wafariki katika ghasia na moto gerezani

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Takriban wafungwa 52 waliuawa na wengine 26 kujeruhiwa mapema Jumanne baada ya moto kuzuka wakati wa ghasia za magereza kusini magharibi mwa Colombia

Kenya kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia kuwahifadhi raia wake waliodhulumiwa
Features Gender

Kenya kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia kuwahifadhi raia wake waliodhulumiwa

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

KSh70 milioni zimetengwa kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia ambako wafanyakazi kutoka kenya wamepitia mateso ya kiakili na kimwili na ukiukaji wa haki zao.

Misri yamhukumu kifo mwanamume mmoja kwa tuhuma za mauaji
Africa Features Gender

Misri yamhukumu kifo mwanamume mmoja kwa tuhuma za mauaji

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Mahakama ya Misri ilimhukumu kifo mwanamume mmoja kwa mauaji ya mwanafunzi ambaye alikataa ombi la kuwa katika uhusiano nae,

Ghana: Polisi wafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano ya kupinga gharama za maisha
Africa Features People Politics

Ghana: Polisi wafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano ya kupinga gharama za maisha

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Ghna inakabiliwa na mdororo wa kiuchumi uliochochewa na janga la corona na athari za vita vya Urusi nchini Ukraine, limeshuhudia mfumuko wa bei ukiongezeka hadi zaidi ya asilimia 27

Afrika Kusini yasambaza umeme kwa mgao kwa viwango vya chini zaidi
Africa Features

Afrika Kusini yasambaza umeme kwa mgao kwa viwango vya chini zaidi

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Afrika Kusini iliweka mgao mgumu zaidi wa umeme katika kipindi cha miaka miwili na nusu baada ya mizozo ya wafanyakazi kutatiza uzalishaji katika mitambo kadhaa.

UN yatoa wito wa dharura wa dola milioni 110 kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Afghanistan
International Natural disasters

UN yatoa wito wa dharura wa dola milioni 110 kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Afghanistan

Maureen MedzaJune 28, 2022July 2, 2024

Tetemeko la kipimo cha 5.9 lilipiga jimbo la Paktika mashariki mwa nchi, na kuua zaidi ya watu 1,000 na kuwaacha makumi kwa maelfu bila makazi.

Nigeria yaidhinisha ubebeji wa bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi
Africa Features Politics

Nigeria yaidhinisha ubebeji wa bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi

Maureen MedzaJune 28, 2022June 28, 2022

Jimbo la Zamfara kaskazini mwa Nigeria litaruhusu watu kubeba bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi wenye silaha baada ya mamlaka kushindwa kuzuia ongezeko la utekaji nyara na mauaji.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo