• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Wadh Kassim

John Mnyika Aanza Kutoa Ushahidi Wa Utetezi Katika Kesi Ya Lissu
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

John Mnyika Aanza Kutoa Ushahidi Wa Utetezi Katika Kesi Ya Lissu

Wadh KassimAugust 28, 2026

Sehemu kubwa ya ushahidi wa Mnyika imejikita katika mkutano wa CHADEMA uliofanyika Aprili 3, 2025 katika makao makuu ya chama Mikocheni, Dar es Salaam. Mnyika ameieleza Mahakama kuwa mkutano huo ulikuwa wa ndani wa chama, uliwahusisha watia nia wa uchaguzi wa mwaka 2025 pamoja na viongozi na waandishi wa habari.

Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Ahitimisha Utetezi Baada Ya Siku Tano Mahakamani, Shahidi Mwingine Kuendelea

Wadh KassimAugust 28, 2026

Lissu amepanga kuleta mashahidi 12 kwa ajili ya utetezi dhidi yake akiwemo na yeye mwenyewe huku, wengine wakiwa ni Viongozi wakuu wa serikali na Chama chake.

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa
Africa Crime & Justice East Africa Kenya Politics Rights & Freedoms

Jamhuri, Lissu Ngoma Nzito Kesi Yaahirishwa

Wadh KassimAugust 27, 2026

Jamhuri imeonekana kulenga kutengeneza picha kwamba baadhi ya kauli na hoja zilizotolewa na Lissu katika utetezi wake zinapingana na ushahidi wa mashahidi wa upande wa mashtaka, huku Lissu akijibu kwa kusisitiza tafsiri yake ya matukio, sheria na ushahidi uliowasilishwa mahakamani.

Barcelona Holding out Hope for Alvarez as Atletico Resist Sale
Football International Sports

Barcelona Holding out Hope for Alvarez as Atletico Resist Sale

Wadh KassimAugust 26, 2026

The Catalan giants have made Alvarez their prime target, with Spanish media reporting Laporta’s stance is effectively “Alvarez or nobody” as Barca seek to strengthen their attack following the departures of Robert Lewandowski and Ferran Torres.

King Charles III and Queen Camilla to visit Caribbean
International

King Charles III and Queen Camilla to visit Caribbean

Wadh KassimAugust 26, 2026

The monarch’s planned visit to Antigua and Barbuda with his wife Queen Camilla will coincide with the Commonwealth Heads of Government Meeting taking place there in early November, the palace said.

Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso
Africa Crime & Justice East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Jamhuri Yambana Lissu, Maswali Ya Dodoso

Wadh KassimAugust 26, 2026

Lissu amesisitiza kuwa hana wajibu wa kuthibitisha kesi hiyo, akirejea misingi ya sheria ya ushahidi.

Lissu Amaliza Kujitetea, Asema Hakuna Ushahidi wa Kuthibitisha Kosa la Uhaini
Africa Crime & Justice East Africa People Politics Rights & Freedoms Tanzania

Lissu Amaliza Kujitetea, Asema Hakuna Ushahidi wa Kuthibitisha Kosa la Uhaini

Wadh KassimAugust 26, 2026

Lissu amewaambia majaji kwamba ushahidi alioutoa unaonyesha kuwa upande wa Jamhuri haujathibitisha vipengele muhimu vya kosa la uhaini, ikiwemo kuwepo kwa nia ya kutenda kosa hilo.

WHO Is Dolly Parton?
Entertainment International

WHO Is Dolly Parton?

Wadh KassimAugust 26, 2026

Parton was prolific in a career spanning six decades during which she penned some 3,000 tunes, including the iconic ballad “I Will Always Love You,” which became an international smash for Whitney Houston.

Tens of Thousands Flee Fire Near US City of Reno
Accidents International

Tens of Thousands Flee Fire Near US City of Reno

Wadh KassimAugust 25, 2026

Around 24,000 were still under evacuation orders on Monday, officials said, down from over 40,000 at its peak. Tens of thousands more have been put on alert and told to have bags ready to go at a moment’s notice.

Lissu: “No Reform, No Election Ulikuwa Msimamo wa CHADEMA, Si Mpango wa Uhaini”
Africa Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Lissu: “No Reform, No Election Ulikuwa Msimamo wa CHADEMA, Si Mpango wa Uhaini”

Wadh KassimAugust 24, 2026August 24, 2026

Lissu amesema suala la uchaguzi na Katiba lilikuwa sehemu ya mjadala mpana ndani ya CHADEMA, na kwamba msimamo wa “No Reform, No Election” haukuanzishwa na yeye binafsi.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy