Balaa! Lissu Aibua Pingamizi Jipya
Pingamizi hilo limewasilishwa muda mfupi baada ya Mahakama kutoa uamuzi wa pingamizi la awali, ambapo Lissu alipinga upokelewaji wa vielelezo vya video vilivyohifadhiwa katika Flash Disk na Memory Card.
Pingamizi hilo limewasilishwa muda mfupi baada ya Mahakama kutoa uamuzi wa pingamizi la awali, ambapo Lissu alipinga upokelewaji wa vielelezo vya video vilivyohifadhiwa katika Flash Disk na Memory Card.
Uamuzi huo umetolewa leo na Jaji Dustan Nduguru ambaye anaongoza jopo la majaji watatu wanaosikiliza shauri hilo, wakati kesi hiyo ilipokuwa ikiendelea kusikilizwa kwa ajili ya kutolewa uamuzi kuhusu mapokezi ya vielelezo hivyo.
A man who identified himself as Issah and claimed to be the victim’s brother “brought the deceased to the hospital in a critical condition, with several abdominal injuries, alleging that the victim had been involved in an accident,” the police statement said.
Residents have lined the streets since dawn, many dressed in party regalia and waving flags, while others sing liberation songs associated with Odinga’s political journey.
Raila alihatarisha maisha yake kwa kuongoza maandamano, mikutano ya hadhara, na kampeni za mageuzi, akisisitiza kuwa Kenya inahitaji katiba mpya, utawala wa sheria, na haki za binadamu.
Holding coloured balloons, blowing whistles and setting off smoke bombs, protesters started marching through the city in the morning, blocking traffic.
Nyerere Day remains a moment of national reflection, not only on Tanzania’s historical journey but also on the values that continue to guide its future. From education and unity to moral integrity and respect for all, Mwalimu’s ideals are celebrated as a compass for generations to come.
People flooded a square in front of the Antananarivo city hall, waving flags and chanting slogans, some hanging off military vehicles as they arrived, AFP reporters saw.
Mawakili wa Jamhuri walidai kuwa mshtakiwa hakufuata taratibu za kisheria katika kuwasilisha ombi hilo la kupokea kielelezo hicho kama ushahidi.
The day was officially renamed in 2024, replacing previous iterations such as Moi Day, Huduma Day, and Utamaduni Day, which had various symbolic and cultural meanings over the years.