Protests Erupt in Tanzania as Country Votes
The protests come as voter turnout remains low, with several polling stations especially in Dar es Salaam, remaining almost empty hours after opening.
The protests come as voter turnout remains low, with several polling stations especially in Dar es Salaam, remaining almost empty hours after opening.
Idadi ndogo ya wapiga kura imeonekana katika vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam leo Jumatano, wakati ambapo wapinzani wakuu wa Rais Samia Suluhu Hassan wengine wakiwa gerezani na wengine wamezuiwa kugombea.
Tanzania inapiga kura leo, Oktoba 29, 2025, katika uchaguzi mkuu unaoonekana kumwendea Rais Samia Suluhu Hassan, anayewania muhula wa pili kupitia CCM. Uchaguzi huu umechochea mjadala mkali kuhusu uhuru wa kisiasa na haki za binadamu, hasa baada ya kuenguliwa kwa wagombea wakuu wa upinzani.
They highlighted a silent epidemic of abductions and enforced disappearances, referencing the cases of CHADEMA leaders Tundu Lissu and John Heche, as well as former ambassador Humphrey Polepole, who all remain in detention or missing.
The award was presented by former Ghanaian President Nana Akufo-Addo during the Democrat Union of Africa (DUA) Forum 2025, held in Nairobi, Kenya, on October 28.
The statement accuses Tanzanian authorities of violating human rights through unlawful detention, enforced disappearances and the silencing of opposition voices.
In a statement posted on his official X account on October 26, Lissu said his prison cell has been fitted with CCTV cameras that record all his movements, even during private moments.
Taarifa ya Jeshi la Polisi imesema kuwa baadhi ya taarifa hizo zimeandaliwa kwa uangalifu ili kuzalisha taharuki, ikiwemo kuchukua matukio yaliyotokea katika nchi nyingine, kuyatengeneza upya, kisha kuyaunganisha na sauti za Kiswahili zenye lafudhi ya nchi yetu ili yaonekane yametokea nchini.
A small plane travelling from Kenya’s coast crashed on Tuesday, killing all 11 people on board, including foreigners, the airline said.
Sudan’s army admitted on Monday it had withdrawn from the strategic hub of El-Fasher, while the United Nations issued a stark warning over reports of “atrocities” by the paramilitary group now in control of the city.