Ethiopia protests ‘ill-advised’ speech by US ambassador
Ethiopia’s Ministry of Foreign Affairs denounced the speech on Thursday, saying it contained “allegations against, and unsolicited advice to the Government of Ethiopia.”
Ethiopia’s Ministry of Foreign Affairs denounced the speech on Thursday, saying it contained “allegations against, and unsolicited advice to the Government of Ethiopia.”
Jumla ya watu 670,000, ni raia wa taifa jirani la Sudan, ambao walikimbilia taifa la Sudan Kusini kutokana na vita vinavyoendelea katika taifa hilo. Asilimia 80 kati yao ni raia wa Sudan Kusini, ambao walikuwa wameenda Sudan kutafuta hifadhi.
Kukatika kwa mtandao kwa sasa katika Afrika Mashariki kunahusisha kukatwa mara tatu kwa nyaya za chini ya bahari na hitilafu katika mfumo mwingine. Ben Roberts wa Liquid Telecom aliripoti masuala na Mfumo wa Kebo wa Manowari wa Afrika Mashariki (EASSy) na nyaya za Seacom.
Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.
There are over 570 undersea cables globally, with submarine cables providing 90% of Africa’s internet needs.
Watu 27 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mapambano mapya kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mapema wiki hii katika mji wa El-Fasher, Darfu
Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.
Katika nafasi ya pili, bingwa huyo aliweza kufuatiwa kwa karibu na Muingereza Jemma Reekie (1:58.42), Benin Noelie Yarigo wa uingereza (1:58.70) katika nafasi ya tatu, Muethiopia Habitam Alemu (1:59.08) katika nafasi ya nne na bingwa wa dunia mwaka 2019 Halimah Nakaayi kutoka Uganda (1:59.48) akatwaa nafasi ya tano, mtawalia. Mbio hizo ziliwahusisha wanariadha 11.
Dedy Itno amejizolea asilimia 61 za kura huku Succes Masra akijizolea asilimia 18.5, matokeo ambayo upinzani ukiongozwa na mgombea mwenza mkuu, Succes Masra wametofautiana na matokeo hayo.
Well-crafted local stories are “a major opportunity”, Netflix’s Africa and Middle East content vice president Ben Amadasun told AFP, on the sidelines of the Forbes Under 30 Summit Africa in the Botswanan capital Gaborone this week.