Nigeria hit by widespread blackout in ‘total system collapse’
The West African country’s grid collapsed at least four times in 2022 – authorities blamed this on technical problems.
The West African country’s grid collapsed at least four times in 2022 – authorities blamed this on technical problems.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael kuwahimiza Wakurugenzi wa Halmashauri za Mkoa huo kuwalipa watumishi wa Afya stahiki zao kwa wakati.
Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki has stated that he will not relent in his efforts to clear the backlog in…
According to data shared as part of Spotify’s Afrobeats: Journey to a Billion Streams project, Rema ranks among the top 10 most streamed Afrobeats artists on the platform.
One kale sample had high levels of Fenhexamid (0.04 mg/kg) compared to the EU MRLs limit of 0.01mg/kg.
Tetemeko hilo ni baya zaidi kuwahi kutokea Morocco tangu lile la mwaka 1960 lililouharibu vibaya mji wa Agadir na kusababisha vifo vya watu 12,000.
Leo imetimia miaka sita katika historia ya maisha ya mwanasiasa na mwanasheria nguli nchini Tanzania Tundu Lissu, ambaye sasa amepata ulemavu wa kudumu baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana siku kama ya leo Septemba 7,2017 jijini Dodoma kisha kupelekwa Nairobi kwa ajili ya matibabu
Rais wa mpito wa Gabon Jenerali Brice Oligui sasa ametangaza Ali Bongo yuko ‘huru’ na anaweza kuondoka nchini. Jenerali Oligui amesema hayo katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyosomwa moja kwa moja Jumatano jioni kwenye runinga ya taifa.
Viongozi wa Afrika wametaka mabadiliko makubwa katika mfumo wa fedha wa kimataifa na kuihimiza jumuiya ya kimataifa kuunga mkono ongezeko la nishati jadidifu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria