Autopax Air Yetu: Inside Kenya’s Ksh.1.7M Electric Car Driven By President Ruto
President William Ruto’s motorcade to the Kenyatta International Convention Centre in Nairobi where the Africa Climate Summit is taking place…
President William Ruto’s motorcade to the Kenyatta International Convention Centre in Nairobi where the Africa Climate Summit is taking place…
While ACS is a high level Climate Change meeting for presidents, ACW brings together state actors and other Climate Change stakeholders and professionals to deliberate on Climate Change crisis topics.
The theme of the summit is “Driving Green Growth and Climate Finance Solutions for Africa and the World”.
Rais Samia ameeleza hayo leo Ikulu ndogo ya Visiwani Zanzibar wakati akiwaapisha vingozi wateule aliowateua Agosti 30,2023 ambapo pamoja na mambo mengine ameweka msisitizo wake kwa aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ambaye sasa amehamishiwa katika Wizara ya Tamisemi kuhakikisha anacheza karata zake vizuri ili ushindi urudi kwenye serikali yake.
The vehicles are two-wheelers, with a place for a driver and a passenger, and instead of a petrol-powered engine are driven by an electric engine supplied by a battery.
Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya imemhukumu kifungo cha maisha jela Ezekia Mwaitoto Msawile (45) mkazi wa Ilemi jijini Mbeya baada ya kupatikana na hatia ya makosa mawili ya unajisi na kumwingilia kinyume cha maumbile mtoto wa miaka tisa.
Tanzania inajiandaa kufanya kampeni ya utoaji wa chanjo ya Polio Virus 2 (CVDPV2) katika Mikoa 6 inayopakana na nchi za Zambia na Burundi ambapo zoezi hilo limepangwa kufanyika mwezi Septemba na Novemba Mwaka huu 2023 ili kuwakinga watoto.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu leo Agosti 30, 2023 imebainisha kuwa Rais Samia amefuta Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na badala yake ameunda wizara mpya mbili ambazo ni Wizara ya Ujenzi na Wizara ya Uchukuzi.
The Bongo family has ruled Gabon for more than 50 years
Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru Mkoani Mbeya imewafikisha mahakamani watu 14 wakiwemo watumishi wa Halmashauri mbalimbali mkoani humo wakituhumiwa kwa makosa 16 ikiwemo kuendesha genge la uhalifu na utakatishaji wa fedha zaidi ya shilingi Million 350.