Stock markets rise after Pelosi’s Taiwan trip
Investor concerns over US-China tensions have eased
Investor concerns over US-China tensions have eased
Almasi hiyo adimu imepewa jina ‘Lulo Rose’ iligunduliwa katika mgodi wa Lulo nchini Angola na Kampuni ya Lucapa Diamond.
Somalia ilitangaza kupiga marufuku mirungi kutoka Kenya mnamo Machi 2020 huku kukiwa na mzozo wa mpaka wa baharini kati ya majirani hao wawili wa Afrika Mashariki.
The European Union is India’s second-biggest trading partner after the United States but talks with the bloc broke down in 2013 over issues including tariff reductions and patent protection.
“Hana Kuma”, jina la kijapani ambayo tafsiri yake “Flower Bear” ni kampuni itakayotoa hadithi maalum za kitamaduni lakini pia za ulimwengu kwa watazamaji wote”
Somalia imekuwa soko muhimu la uuzaji wa nje wa miraa nchini Kenya tangu Uholanzi na Uingereza zilipoweka marufuku mwaka wa 2012 na 2014 mtawalia
Mamlaka ya udhibiti wa nishati na petroli (EPRA) Jumanne ilitangaza kupanda kwa bei ya mafuta kwa KSh9 kwa lita.
“I want a team in Vegas. I want the team in Vegas.”
Kiwanda cha Pwani Oil kinachozalisha mafuta ya kupikia aina ya Freshfri, Salit na Fry Mate, imekifungia kiwanda kutokana na uhaba wa malighafi iliyoshindwa kuagiza kutokana na uhaba wa dola
News outlet Insider, reports that Musk’s rocket company SpaceX, paid a woman $250,000 in 2018 to settle a misconduct claim against him.